chegreyson
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 974
- 434
Imenichuwa takriban miaka minne kuweza kupata kiini cha RICHIMOND na kujiuzulu kwa Lowassa, katika wadhifa wa waziri mkuu.Hawa waheshimiwa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, uliomweka madarakani rais wa sasa WALIKUWA WANA MTANDAO na walipeana vyeo.Katika kupeana vyeo hivyo jina la Lowassa halikuwepo katika orodha ya waziri mkuu.
Waliotegemewa kupewa wadhifa huo,walienguliwa katika dakika za lala salama na Lowassa kuibuka kidedea.Hapo ndipo uhasama ulipoanzia kwa mwana mtandao kumeguka na kuanza kutafutiana visasi vya kupata na kukosa uwazirui mkuu.
Walikosa nafasi hiyo wakapendekezwa kwenda kugombea mihimili mingine ya dola.Kwa kuwa lengo lilikuwa uwaziri mkuu, watu hawa hawakuridhika na walichopata.Kwa hiyo,kundi la mtandao likamenguka kuwa mawili,yote yaliasimiana.
Kwa bahati mbaya kundi la Lowassa likaja kutelezea katika kashifa ya kufua umeme ya RICHMOND.Ndipo kundi lililokosa UM likapata nguvu mpya na kasi mpya kwa kuunda TUME ya bunge ambayo ilipewa jukumu la kuhakikisha Lowassa hatoki.Ili kufanikisha hivyo alinyimwa hata haki yake ya msingi ya kusikilizwa.
Tume ilifanya ilichofanya na riport ilipotoka Lowassa akawa ameachwa uchi,na kwa vile wakati ule watu hawakutaka kusikia lolote zaidi ya kuachia ngazi,basi ikabidi ajiuzulu.
Katika kujiuzulu kwake LOWASA ALISEMA KWA KUFUMBA KWAMBA TATIZO LILIKUWA NI UWAZIRI MKUU WAKE.Tafusili ya usrmi ule ulikuwa hauleweki ya kuwa kinyongo na tambo zote za kumoundoa katika nafasi ile ni chuki,ya watu kukosa nafasi ile.
Namlaumu Lowassa kwa kufanya uzembe, wa kutojisafisha mapema.
Kama angejisafisha wakati ule mapema MAMBO mengi yaliyosemwa juu yake yasingekuwepo, na hata safari yake yua kutafuta urais ingekuwa nyepesi.
Waliotegemewa kupewa wadhifa huo,walienguliwa katika dakika za lala salama na Lowassa kuibuka kidedea.Hapo ndipo uhasama ulipoanzia kwa mwana mtandao kumeguka na kuanza kutafutiana visasi vya kupata na kukosa uwazirui mkuu.
Walikosa nafasi hiyo wakapendekezwa kwenda kugombea mihimili mingine ya dola.Kwa kuwa lengo lilikuwa uwaziri mkuu, watu hawa hawakuridhika na walichopata.Kwa hiyo,kundi la mtandao likamenguka kuwa mawili,yote yaliasimiana.
Kwa bahati mbaya kundi la Lowassa likaja kutelezea katika kashifa ya kufua umeme ya RICHMOND.Ndipo kundi lililokosa UM likapata nguvu mpya na kasi mpya kwa kuunda TUME ya bunge ambayo ilipewa jukumu la kuhakikisha Lowassa hatoki.Ili kufanikisha hivyo alinyimwa hata haki yake ya msingi ya kusikilizwa.
Tume ilifanya ilichofanya na riport ilipotoka Lowassa akawa ameachwa uchi,na kwa vile wakati ule watu hawakutaka kusikia lolote zaidi ya kuachia ngazi,basi ikabidi ajiuzulu.
Katika kujiuzulu kwake LOWASA ALISEMA KWA KUFUMBA KWAMBA TATIZO LILIKUWA NI UWAZIRI MKUU WAKE.Tafusili ya usrmi ule ulikuwa hauleweki ya kuwa kinyongo na tambo zote za kumoundoa katika nafasi ile ni chuki,ya watu kukosa nafasi ile.
Namlaumu Lowassa kwa kufanya uzembe, wa kutojisafisha mapema.
Kama angejisafisha wakati ule mapema MAMBO mengi yaliyosemwa juu yake yasingekuwepo, na hata safari yake yua kutafuta urais ingekuwa nyepesi.