Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,876
Wanandugu sasa naweza kuruka na atcl;nilikuwa nailaani sana hasa baada ya kushindwa kunisafirisha miezi iliyopita;majuuzi niliamua kwenda mwanza hakika walinifurahisha tangu huduma za ndnai mpaka nje.....napenda kuwapongeza na kuwaasa sasa wenzangutunaweza kwenda kukata airtanzania....