Sasa najiunga na ACT Tanzania


Rombo at work.
 

Kwa hiyo hata wewe ndugu yangu mshana jr pamoja na uwezo wako mkubwa wa kufikiri bado unaubia na chama cha ukabila.
 
Last edited by a moderator:

Nawatakieni kila la heri..ama kweli naona taifa limepata mkombozi kweli kweli. ACT?
 
Kwa hiyo hata wewe ndugu yangu mshana jr pamoja na uwezo wako mkubwa wa kufikiri bado unaubia na chama cha ukabila.
Shy land hatuwezi kufanana wala kukubaliana kwenye kila kitu, lakini pia ni mapema mno kuweza kujua ACT kitakuwa chama cha aina gani hasa ukiangalia historia ya kuanzishwa kwake
Labda tusubiri mwakani tar kama ya Leo tuone!!! Iweke kwenye kumbukumbu zako nami nitafanya hivyo
 
Last edited by a moderator:
chama kimoja kimeanzishwa kwa ajili ya kugawanya upinzani na hiyo ni ajenda yake kuu ili kufanikisha kuendelea na majoka wa makengeza na wao wakiwa wanufaika. Hiyo vita ni dhahiri

nani amekueleza haya, au umeambiwa na mdogo wako yule ambae yupo darasa la pili.!
 

Nimekuelewa vizuri sana mshana jr.
 
Last edited by a moderator:
ACT ni ujinga na kujitoa uewela. Eti uzalendo, nani mzalendo, uzalendo hauji kwa kuuandika kwenye katiba au kuutamka bali matendo. ZZK ni kama Augustn Mrema na hoja zake za kukamata dhahabu airport eti huo ni uzalendo, uzalendo ni dhana pana sana.

Upana wake unaanzia wap
fafanua uzalendo kwa mifano kutoka chadema na ccm
 

Mpwa naomba nikuulize swali
Je baada ya zito kukutwa na hatia akafukuzwa chama ALITAKIWA KUFANYA NINI?
 
Last edited by a moderator:
Mpwa naomba nikuulize swali
Je baada ya zito kukutwa na hatia akafukuzwa chama ALITAKIWA KUFANYA NINI?

Swali zuri sana mpwa lakini kuuliza kwamba alitakiwa kufanya nini baada ya kufukuzwa CHADEMA itakuwa ngumu kuweza kujibu kwakuwa cha kutakiwa kufanya ni yeye na maisha yake binafsi

Labda kwa muktadha huu wa kujiunga ACT ni kama tu kuthibitisha sasa zile tuhuma alizokuwa anatuhumiwa nazo! Mpwa ni ngumu kueleweka kama mke wa fulani anatuhumiwa kutembea na mwanaume mwingine nyumba ya jirani akatae kwa nguvu zote hata baada ya kuonyeshwa ushahidi na baada ya hapo akipewa tu talaka akimbilie kwa yule aliyekuwa anatuhumiwa naye
 
Mpwa naomba nikuulize swali
Je baada ya zito kukutwa na hatia akafukuzwa chama ALITAKIWA KUFANYA NINI?

Simple answer
Jr kakuambia si mnyenyekevu so hawez kunyenyekea anapokosa jhakubali changamoto ndio maana anabaki ktk wingu la fikra zake tu
Si muungwana maana muungwana ni vitendo hayo ya leo huko act tuliyajua kabla hata alipoulizwa alikuwa akikataa but leo anaongoza jahaz linalotegemea upepo bila weledi
Wakat akiwa kwenye kampen zake za ubunge mwaka 2010 aliwaambia ndio mwisho wake kugombea ubunge atakapo kuja tena atakuwa anaomba kura za urais. Hata kama chadema isingeandaa hatua za kinidhamu zilizochukuliwa awali kabla hajenda mahakaman angetafuta namna tu aondoke chadema ili agombee urais wake huo wa mkoa wa kigoma.
Kweli vikao vya zito na kizoka pamoja na wasira vimefanikiwa, hata zile pesa za crdb mtaa wa azikiwe ulizochukua kweli zimekufanya ukageuka adui ktk mioyo ya wtz makini but shujaa Kwa wapuuz wanaokupaka mafuta Kwa mgongo wa chupa kama samson
 
Mada kama hizi tunaachana nazo ilimradi tumeshamaliza kazi mhimu yakutoa hivi vimeo kwenye chama chetu na sasa tupo salama,kazi iliyobaki nikuongeza idadi tuzidi kuingia kwao alafu tuwazike vizuri ili wajifunze usariti unavyoumiza
 

Kinachonishangaza kwa Zito ni kwamba haoni kwamba alikosea CHADEMA na hayuko tayari kukiri makosa na udhaifu wake kwakuwa personality yake haiko hivyo

Zito amatumika na ccm, huu mradi haukuanza leo, na ni mmojawapo wa miradi mingi ya kukidhoofisha CHADEMA, wanajua nini kitatokea CHADEMA kikichukua nchi
Kuna mradi wa kuwafitinisha viongozi wa CHADEMA, au kuwaua, au kuwagombanisha na vyama vingine vya siasa, pia kutumia turufu ya udini ukanda na ukabila

Siwezi kusema CHADEMA hakifanyi makosa, lazima yawepo kwakuwa kinaongozwa na binadamu na sio malaika. Lakini tukikiweka CHADEMA na ccm/ACT kwenye mizania ya haki CHADEMA ni bora kuliko hao wengine

Zitto hatakubali hata siku Moja kuwa anatumika lakini matendo yake na mwelekeo wake utathibitisha kila kitu, tuwe na subra WAKATI SI MILELE
 
wewe una nguvu gani tumbili wee who cares? go to hell moron mangoose
 
zitto ni msaliti hilo nalina shaka na ipo siku atakuwa kama mrema au kabouru
 
chaby akili haikutoshi, kwani ccm hakuna familia zao huko hadi watoto?? rejea jibu la Pinda bungeni kuhusu kutumia wanafunzi sherehe za CCM miaka 38 songea
 
Tuko pamoja brooo mi nilikua natafuta chama kisafi kila nikitazama huku ukabila ballaaa halafu wameeneza sana siasa za chuki mi kama mtanzania namuomba zito kabwe mpya aje na sera bora bila siasa za chuki udini ukabila tupa kule asimamie haki naamini kwani zito ni muongeaji mzuri na mbanaji mzur kwa selikali yeyote itakayo kua madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…