Sasa nahamia rasmi CCM ya Magufuli

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,829
Great Thinkers!
Sasa nimehamia rasmi kambi makini ya CCM ya Magufuli baada ya kushuhudia utekelezaji usio wa kifani wa ahadi zake.
Nilikuwa CHADEMA kindakindaki niliwakubali na kuwapigia debe viongozi wa CHADEMA.

Nilifanya hivi baada ya kuuchukia ufisadi na mauzauza yote yaliyokuwa yanafanywa na wana CCM mafisadi.
Leo hii President John Pombe Magufuli ameonesha uthubutu na uthabiti dhidi ya wote wenye mienendo mibovu iwe ndani au nje ya CCM.

Roho yangu iliyahitaji na kuyatamani sana haya anayoyafanya Namba moja wa Dodoma kwa sasa akiwa amehamia 1BARABARA YA JULIUS NYERERE ROAD
CHAMWINO.

HE is The Real Deal!

Maamuzi yangu haya yanatokana na thread yangu nyeti ambayo leo kwa asilimia 100 imekuwa kweli.


Ungana nami kama mzalendo mtaka mabadiliko ya kweli.
 
Magufuli ni babalao na CCM ni chama lao.
CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Darasani bwana! Mnafundishwa wote kwa pamoja wakati mmoja ila kila mtu anaelewa kwa wakati wake!!
 
meningitis,
Nina wasiwasi hii account imehakiwa...wewe jamaa nakukumbuka fresh humu jf ulikuwa chadema damu...account imehakiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…