Waafrika ni wabinafsi sana na kamwe hatuwezi kuendelea.“ Kuna baadhi ya Waafrika nadhani ama wanasumbuliwa na Ushamba au Ufinyu wa Kufikiri. Sioni tija ya Marais wanaokaa Madarakani kama wana uwezo mkubwa wa Kuongoza basi waondolewe tu kwakuwa wamekuwa Wazee. Waafrika wanatakiwa waangalie Uwezo wa Mtu katika Kuwaongoza na siyo Umri wake na isitoshe ukiwa Mzee na Rais ndiyo unakuwa na Uzoefu zaidi wa Kuwaongoza Wananchi wako kuliko wengine ambao bado wana safari ndefu ya Kujifunza namna ya Kuongoza / Kutawala “
Wito wangu tu kama GENTAMYCINE naomba na Marais wengine ambao kiukweli kwa hapa Afrika Mashariki wanafanya vizuri katika Kuziongoza na kuziletea Maendeleo nchi zao kama Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli nao pia ikiwezekana Wananchi wa nchi zao wawaache tu waendelee Kuongoza / Kutawala hata kama wakiwa wanakaribia Uzee kwani mpaka hivi sasa kwa huu Ukanda wetu wa Afrika Mashariki sijaona Marais ambao nawakubali na nawapenda mno na natamani watawale nchi zao ikibidi hata Milele kama Rais Museveni, Rais Kagame na Rais Dkt. Magufuli.
Shikamoo sana na mno Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Nawasilisha.
atakae fia madarakani atakuwa ameachia mkosi mkubwa Ikulu ..Mimi mwana Afrika Mashariki yoyote ambaye hawataki au hawaelewi hawa Marais wangu ' Wapendwa ' akina Museveni, Kagame na Magufuli huwa nahisi wanaweza wakawa na ' matatizo ' makubwa ' Vichwani ' mwao. Uganda, Rwanda na Tanzania zinaendelea vyema Kiuchumi na hadi Kimiundombinu huku Huduma bora za Kijamii zikiboreshwa kwakuwa zipo chini ya hawa Marais wangu ' Wapendwa ' Watatu ambao nawaombea ' Watawale ' hizo nchi zao hadi pale ama wakiwa Wazee kabisa au basi wakifia kabisa Madarakani.
Kama kawaida yako unawasilisha pumba...kama unawapenda hao wachukue ukanywe nao chai. Nchi haifati mahaba ya mtu kwa watuwake.“ Kuna baadhi ya Waafrika nadhani ama wanasumbuliwa na Ushamba au Ufinyu wa Kufikiri. Sioni tija ya Marais wanaokaa Madarakani kama wana uwezo mkubwa wa Kuongoza basi waondolewe tu kwakuwa wamekuwa Wazee. Waafrika wanatakiwa waangalie Uwezo wa Mtu katika Kuwaongoza na siyo Umri wake na isitoshe ukiwa Mzee na Rais ndiyo unakuwa na Uzoefu zaidi wa Kuwaongoza Wananchi wako kuliko wengine ambao bado wana safari ndefu ya Kujifunza namna ya Kuongoza / Kutawala “
Wito wangu tu kama GENTAMYCINE naomba na Marais wengine ambao kiukweli kwa hapa Afrika Mashariki wanafanya vizuri katika Kuziongoza na kuziletea Maendeleo nchi zao kama Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli nao pia ikiwezekana Wananchi wa nchi zao wawaache tu waendelee Kuongoza / Kutawala hata kama wakiwa wanakaribia Uzee kwani mpaka hivi sasa kwa huu Ukanda wetu wa Afrika Mashariki sijaona Marais ambao nawakubali na nawapenda mno na natamani watawale nchi zao ikibidi hata Milele kama Rais Museveni, Rais Kagame na Rais Dkt. Magufuli.
Shikamoo sana na mno Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Nawasilisha.
Tumekusikia binti.“ Kuna baadhi ya Waafrika nadhani ama wanasumbuliwa na Ushamba au Ufinyu wa Kufikiri. Sioni tija ya Marais wanaokaa Madarakani kama wana uwezo mkubwa wa Kuongoza basi waondolewe tu kwakuwa wamekuwa Wazee. Waafrika wanatakiwa waangalie Uwezo wa Mtu katika Kuwaongoza na siyo Umri wake na isitoshe ukiwa Mzee na Rais ndiyo unakuwa na Uzoefu zaidi wa Kuwaongoza Wananchi wako kuliko wengine ambao bado wana safari ndefu ya Kujifunza namna ya Kuongoza / Kutawala “
Wito wangu tu kama GENTAMYCINE naomba na Marais wengine ambao kiukweli kwa hapa Afrika Mashariki wanafanya vizuri katika Kuziongoza na kuziletea Maendeleo nchi zao kama Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli nao pia ikiwezekana Wananchi wa nchi zao wawaache tu waendelee Kuongoza / Kutawala hata kama wakiwa wanakaribia Uzee kwani mpaka hivi sasa kwa huu Ukanda wetu wa Afrika Mashariki sijaona Marais ambao nawakubali na nawapenda mno na natamani watawale nchi zao ikibidi hata Milele kama Rais Museveni, Rais Kagame na Rais Dkt. Magufuli.
Shikamoo sana na mno Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Nawasilisha.
Sishangai wewe kupongeza viongozi ambao ni jamii yako!.“ Kuna baadhi ya Waafrika nadhani ama wanasumbuliwa na Ushamba au Ufinyu wa Kufikiri. Sioni tija ya Marais wanaokaa Madarakani kama wana uwezo mkubwa wa Kuongoza basi waondolewe tu kwakuwa wamekuwa Wazee. Waafrika wanatakiwa waangalie Uwezo wa Mtu katika Kuwaongoza na siyo Umri wake na isitoshe ukiwa Mzee na Rais ndiyo unakuwa na Uzoefu zaidi wa Kuwaongoza Wananchi wako kuliko wengine ambao bado wana safari ndefu ya Kujifunza namna ya Kuongoza / Kutawala “
Wito wangu tu kama GENTAMYCINE naomba na Marais wengine ambao kiukweli kwa hapa Afrika Mashariki wanafanya vizuri katika Kuziongoza na kuziletea Maendeleo nchi zao kama Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli nao pia ikiwezekana Wananchi wa nchi zao wawaache tu waendelee Kuongoza / Kutawala hata kama wakiwa wanakaribia Uzee kwani mpaka hivi sasa kwa huu Ukanda wetu wa Afrika Mashariki sijaona Marais ambao nawakubali na nawapenda mno na natamani watawale nchi zao ikibidi hata Milele kama Rais Museveni, Rais Kagame na Rais Dkt. Magufuli.
Shikamoo sana na mno Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Nawasilisha.
aiseee yani East Africa nzima binadamu wenye akili ni watatu tu hahaha wallah this is a dark continent khaaaaa!!!Mimi mwana Afrika Mashariki yoyote ambaye hawataki au hawaelewi hawa Marais wangu ' Wapendwa ' akina Museveni, Kagame na Magufuli huwa nahisi wanaweza wakawa na ' matatizo ' makubwa ' Vichwani ' mwao. Uganda, Rwanda na Tanzania zinaendelea vyema Kiuchumi na hadi Kimiundombinu huku Huduma bora za Kijamii zikiboreshwa kwakuwa zipo chini ya hawa Marais wangu ' Wapendwa ' Watatu ambao nawaombea ' Watawale ' hizo nchi zao hadi pale ama wakiwa Wazee kabisa au basi wakifia kabisa Madarakani.
Nikweli hata mm ningependa iwe hivyo ila tukiruhusu hivyo vita itanukia hivyo tusimamie katiba only.“ Kuna baadhi ya Waafrika nadhani ama wanasumbuliwa na Ushamba au Ufinyu wa Kufikiri. Sioni tija ya Marais wanaokaa Madarakani kama wana uwezo mkubwa wa Kuongoza basi waondolewe tu kwakuwa wamekuwa Wazee. Waafrika wanatakiwa waangalie Uwezo wa Mtu katika Kuwaongoza na siyo Umri wake na isitoshe ukiwa Mzee na Rais ndiyo unakuwa na Uzoefu zaidi wa Kuwaongoza Wananchi wako kuliko wengine ambao bado wana safari ndefu ya Kujifunza namna ya Kuongoza / Kutawala “
Wito wangu tu kama GENTAMYCINE naomba na Marais wengine ambao kiukweli kwa hapa Afrika Mashariki wanafanya vizuri katika Kuziongoza na kuziletea Maendeleo nchi zao kama Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli nao pia ikiwezekana Wananchi wa nchi zao wawaache tu waendelee Kuongoza / Kutawala hata kama wakiwa wanakaribia Uzee kwani mpaka hivi sasa kwa huu Ukanda wetu wa Afrika Mashariki sijaona Marais ambao nawakubali na nawapenda mno na natamani watawale nchi zao ikibidi hata Milele kama Rais Museveni, Rais Kagame na Rais Dkt. Magufuli.
Shikamoo sana na mno Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Nawasilisha.
Ile kesi yako vipi moderator walikusikiliza mkuu?
“ Kuna baadhi ya Waafrika nadhani ama wanasumbuliwa na Ushamba au Ufinyu wa Kufikiri. Sioni tija ya Marais wanaokaa Madarakani kama wana uwezo mkubwa wa Kuongoza basi waondolewe tu kwakuwa wamekuwa Wazee. Waafrika wanatakiwa waangalie Uwezo wa Mtu katika Kuwaongoza na siyo Umri wake na isitoshe ukiwa Mzee na Rais ndiyo unakuwa na Uzoefu zaidi wa Kuwaongoza Wananchi wako kuliko wengine ambao bado wana safari ndefu ya Kujifunza namna ya Kuongoza / Kutawala “
Wito wangu tu kama GENTAMYCINE naomba na Marais wengine ambao kiukweli kwa hapa Afrika Mashariki wanafanya vizuri katika Kuziongoza na kuziletea Maendeleo nchi zao kama Rais wa Rwanda Paul Kagame na Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli nao pia ikiwezekana Wananchi wa nchi zao wawaache tu waendelee Kuongoza / Kutawala hata kama wakiwa wanakaribia Uzee kwani mpaka hivi sasa kwa huu Ukanda wetu wa Afrika Mashariki sijaona Marais ambao nawakubali na nawapenda mno na natamani watawale nchi zao ikibidi hata Milele kama Rais Museveni, Rais Kagame na Rais Dkt. Magufuli.
Shikamoo sana na mno Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Nawasilisha.
Swali la msingi sana ambalo mfumo wa demokrasia hauwezi jibu.Labda tungeanzia hapa,hao wanaotaka wapishwe wanataka wakatusaidie nini? Siyo tu eti nao wakale.
Siyo jukumu la demokrasia kujibu,ni letu sisi tulioitengeneza demokrasia.Swali la msingi sana ambalo mfumo wa demokrasia hauwezi jibu.