TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Narudia tena kuwaambia hakuna wa kumzuia EL kuwa rais 2015.
we nae mpe tigo akupigie halafu utujuze.
Narudia tena kuwaambia hakuna wa kumzuia EL kuwa rais 2015.
vangili acha ukalimwaka 2015 hatukubali kwaza chadema hoyeeeeee. hakuna cha lowasa cha 6 au nani wara pesa wanainchi kama kuna pesa chukueni. rakini chadema ndoo chama cha kuwapereka pazuli wewe ukitaka kujuwa kwamba hawa jamaa JK na :alien:mwezie LW wanamambo yao ya chinichini, hebu tujalibu hili chama jingine jamani, chadema hoyeeeeeee
Kweli mtandao umemsaidia sana hasa kwa mambo makuu mawili. Mosi kufanikisha wizi wa pesa za epa bot, pili kumumwakyembe JK original kwani angekuwa hai asingekubali wezi wapewa nchi
Hiyo damu utaimwagia wapi hapa kwenye kibodi au kw a mkeo? mbona Mkwerre ameiba kura na anadunda tu!! au kwa vile ni chaguo la Mungu?EL akiwa Rais damu lazima imwagike,hatuwezi kukubali ujinga
Lowasa ni rais wa 2015, namsubiri kwa hamu, kura yangu anayo....na ya mke wangu, na ya housegirl, na ya dada zangu na ndugu zangu na wafanyakazi wenzangu wote wa karibu. period...tukitaka nchi(inji) hii iendelee tunahitaji watu wenye kufanya maamuzi mazito yenye manufaa kwa taifa, hatutaki watu walegevu.
Na siku mkisikia anaapishwa, basi mweshimiwa 6 na kundi lako muwe Airport
hapa ndo kuna kila kitu
JK: Mimi sijui Bwana, sijui. Mimi ningependa kuamini kwamba nilifanya jitihada kubwa kushinda, na wasije wakafika mahali wakarahisisha mitihani niliyoipitia. Nilifanya jitihada kubwa sana. Sisi ni katika wale tunaoamini kwamba mwisho wa uchaguzi mmoja, ni mwanzo wa uchaguzi mwingine. Sisi tulianza mwaka 1995, tukaweka mkakati wa mwaka 2005.Nilifanya kazi kubwa kujenga mtandao. Nilifika mahali, kila mahali ukinitajia Ngara yuko nani, nakwambia yuko fulani. Nikawa nawajua watu kwa majina. Nimefanya kazi kubwa sana. Ndiyo, nakiri kwamba uzoefu wangu nao katika chama ulinirahisishia. Kwamba hawa watu ninawafahamu, nimeshaishi nao, ndiyo msingi ambao mimi ninadhani umesaidia.
Lakini wanaodhani nilishinda kwa hotuba ya Rais wanatafuta kurahisisha tu ili ionekane kwamba kama isingekuwa hotuba ile watu wasingenichagua. Hata kidogo! Mimi nilianza zamani. Ninaamini tu kwamba nilifanya jitihada mimi mwenyewe ya kuwaomba wana-CCM waniunge mkono, na ninashukuru walinikubali baada ya kuwaeleza nia yangu ni nini.
Yani kama vile unajipanga Kuoa...........
Issue kujipanga bana.......Sasa kwa nini yeye anawazuia wenzake wasijipange?
Anataka waoe bila kutongoza?
Mimi nimeshajiandaa kisaikolojia kwa ujio wa Rais mpya, sioni cockroch yeyote ndani ya CCM wa kuweza kumzuia mwanaume huyu wa Shoka, na kwa jinsi nijuavyo JK ni lazima ajisalimishe mapema kwa Lowasa ili visenti vyake vya uzeeni aweze kuvitumbuwa kwa amani.
Lowasa ni stering wa Kihindi, huwa anaanza kwa kupigwa na kuteswa lakini mwisho wa Sinema mtabaki vinywa wazi. na kwa wale wanaoamini kwenye maombi yule Nabii ambaye yupo duniani TB Joshuwa yeye tayari ameshamhakikishia Lowasa asubili kuapishwa tu.
Kweli mtandao umemsaidia sana hasa kwa mambo makuu mawili. Mosi kufanikisha wizi wa pesa za epa bot, pili kumumwakyembe JK original kwani angekuwa hai asingekubali wezi wapewa nchi
Alisema watu wachukue maamuzi magumu!! Haya sasa, movie imeanza, wazi wazi kuwa ana nia ya kupanda magogoni 2015. Kumbe EL hana makosa, anafuata nyayo za JK,.
Huu ndio ushabiki mimi najiepusha nao, kwa taarifa yako mimi ni mfadhili mzuri sana wa harakati za Chadema kutetea Watanzania na sio ufadhili wa domo bali Cash money na nyenzo mbalimbali ambazo sina sababu za kuziongelea hapa, lakini mada hapa ni Lowasa ndani ya CCM je kuna wa kumzuia!!??Kama huyo nabii ni Mungu basi lowasa asubiri kuapishwa ila kama ni mwanadamu kama sisi basi asiangaike hata kuchukua form ya kugombea uraisi pia kama yeye ni steling wa kihindi Dr. Slaa atakuwa ni stiven seagal ambae mwanzo wa picha hadi mwisho haguswi na ngumi hata moja wala hata kutokwa na tone la damu