Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
aka katoto Nape nauye katahama nchi na kwenda kusikojulikana kama Dr slaa hatashinda.
Unapoteza muda wako bure, CCM yote iko chini ya mikono ya Lowasa akiwemo JK. WEWE JIDANGANYE NA MAIGIZO YA KINA NAPE.
Lowasa ni rais wa 2015, namsubiri kwa hamu, kura yangu anayo....na ya mke wangu, na ya housegirl, na ya dada zangu na ndugu zangu na wafanyakazi wenzangu wote wa karibu. period...tukitaka nchi(inji) hii iendelee tunahitaji watu wenye kufanya maamuzi mazito yenye manufaa kwa taifa, hatutaki watu walegevu.
Mkuu kama wewe ni muhudhuriaji mzuri hapa jamvini huwezi kutokuelewa msimamo wangu, lakini leo nimeamuwa NO porojo, tumechoka na hizi ngonjera za Lowasa Fisadi, tunahitaji evidence hapa. Full stop.Mkuu, you sound as if the guy (EL) has divine powers. Is that for real? Hata mimi sikuwa namfahamu kiasi hicho! Najiuliza mtu wa aina hii akichukua urais inamaanisha nini kwa mustakabali wa taifa hili? Aidha, ina maana utashi wetu sie (wananchi) utakuwa umedhibitiwa na nguvu zisizo za kawaida za mheshimiwa huyu? Na sie tukubaliane na utabiri wa TB Joshua? Just curious.
Na siku mkisikia anaapishwa, basi mweshimiwa 6 na kundi lako muwe Airport
Duh! Hiyo ni bahasha ya mchango?Mkuu kama wewe ni muhudhuriaji mzuri hapa jamvini huwezi kutokuelewa msimamo wangu, lakini leo nimeamuwa NO porojo, tumechoka na hizi ngonjera za Lowasa Fisadi, tunahitaji evidence hapa. Full stop.
Ndio maana nimeup load picha hii hili wale wapiga vuvuzela watueleze hiyo ni bahasha ya nini? je huyo anaepokea ni Askofu!!??
Hizo ni pesa mkuu, ndio maana huwa napingana na wanafki wanaoneza porojo zisizo na mashiko, na ukumbuke hiyo bahasha ina cash money na sio mambo ya kutoa ahadi baadae uanze kusumbuwa watu kuzifuatilia ahadi za pesa.Duh! Hiyo ni bahasha ya mchango?
Alisema watu wachukue maamuzi magumu!! Haya sasa, movie imeanza, wazi wazi kuwa ana nia ya kupanda magogoni 2015. Kumbe EL hana makosa, anafuata nyayo za JK,.
Narudia tena kuwaambia hakuna wa kumzuia EL kuwa rais 2015.
Ni maadui wenu na nani? Halafu msiwe na tabia yakupenda kulazimisha mambo hebu kumbukeni mlivyolazimisha uchaguzi uliopita na mateso tunayopata watanzania wenzenu hamna huruma?Wenzako kila siku wakiulizwa walete ushahidi wa tuhuma za huyu bwana ndio huwa wanakimbia kimoja na hawarudi tena kwenye thread. Mbaya wa Watanzania si Lowasa kamwe bali ni:1. Harisson Mwakyembe Huyu na kamati yake walitumia mamilioni ya pesa za walipa kodi kwa kazi ya kuutafuta ukweli matokeo yake wakaja na ukweli nusu, je ule ukweli nusu mwingine walikuwa wanamficha nani na kwa faida ya nani?2. Samuel Sitta Huyu ni mzee wa hovyo sana na tena anazeeka vibaya mno, hatuwezi kumsamehe kwa kuumaliza mjadala wa Richmond kihuni namna ile, kwangu mimi hawa watu wawili ndio maadui wetu wakuu kwenye hili!!
Dada mimi mwenzako na CHADEMA dam dam ila hapa leo nimeamuwa kusimama kwenye ukweli, hivi ni kwa nini Watanzania mnapenda kuambiwa habari za porojo na uongo uongo tu? kumbe ndio maana chama cha Magamba kinawajulia kweli, fulana na kanga na pilau kwisha habari maana hamtaki kufikiri deeply.Ni maadui wenu na nani? Halafu msiwe na tabia yakupenda kulazimisha mambo hebu kumbukeni mlivyolazimisha uchaguzi uliopita na mateso tunayopata watanzania wenzenu hamna huruma?
The power of money... you can even denounce your parents and family members, if you are not careful
wanaume wengi tu wameolewa kwa ajili ya pesa.
2015, tutayaona mengi sana