Larson
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 206
- 148
Hulka ni zile zile, watu ni wale wale, ni kisingizio tu cha umaskini.Majimbo yakipewa mamlaka kamili maendeleo yatalipuka kwa kasi na kwa uwiano uliosawa, let us decentralise the country sio kila kitu cha nchi kiamuliwe dar na watu wawili tu.
..Kweli.
..wananchi watakuwa ombaomba kwa Raisi, na akiwa mchoyo watakwenda kwa Gavana, ikishindikana kwa mkuu wa mkoa.
..sasa hivi Raisi akiamua kuwanyima wananchi maendeleo, basi imekula kwao, hawana mwingine wa kuwaletea maendeleo.
Nasikia wanataka pia kuhalalisha ushoga na usagaji/ndoa za jinsia moja
Tundu lissu ametumwa kuja kusambaratisha nchi
sheria ya majimbo ni hatari sana kwa umoja wetu
Hata ukiwa na gavana bado mwananchi atakuwa ombaomba kwa gavana.
..tumechoka kuwa ombaomba wa fedha za maendeleo kwa Raisi.
..tunataka baadhi ya makusanyo ya serikali yabaki ktk mikoa yalipokusanywa na kusaidia maendeleo.
..serikali kuu itaongezea pale ambapo majimbo au mikoa imepungukiwa.
Majimbo na states ni vitu tofauti. Mfumo anayoizungumzia Lissu uko kwenye nchi nyingi including South Afica
..tumechoka kuwa ombaomba wa fedha za maendeleo kwa Raisi.
..tunataka baadhi ya makusanyo ya serikali yabaki ktk mikoa yalipokusanywa na kusaidia maendeleo.
..serikali kuu itaongezea pale ambapo majimbo au mikoa imepungukiwa.
Nauliza je nani alizaliwa kuwa kiongozi au kujua kama atakuwa kiongozi?Hao wajasiriamali, hata saccos yao imewashinda ndio iwe nchi. Sioni kiongozi kule anayeweza, tuvusha kwenda uchumi wa juu zaidi. Ukisikia Rais Magufuli anasema uongozi haujaribiwi, wengi wanadhani anatania. Lissu na saccos yao hawana pa kutupeleka watanzania, huo ndio ukweli.
Hata katiba ya Warioba ilizungumzia kwa urefu devolution na ndicho wanachokilenga chadema.Majimbo na states ni vitu tofauti. Mfumo anayoizungumzia Lissu uko kwenye nchi nyingi including South Afica
Hivi umoja wa kitaifa wa nchi yetu unaweza kulinganisha na Marekani?Hapa kwetu tukipata adui tu kuna Watanzania wengi tu watakuwa upande wa adui!Hiyo ni tofauti na Marekani,wataparuana wenyewe kwenye siasa zao ila akitokea adui basi utashangaa wanavyokuwa wamoja!Asili ya sera ya majimbo ni ubinafsi wa wale walioibuni. Wametazama rasilimali walizonazo wakajidanganya kwamba wanaweza kujitegemea, dead wrong.
Utajiri wa ardhini haulingani na moyo wa upendo wenye kumtanguliza mtu pasipo kutazama asili yake ni wapi.
Ukianzisha majimbo umeua kitu kinachoitwa a sense of belonging, ile hali ya umoja ambayo ndio msingi wa utaifa imara.
Tukikubaliana na sera ya majimbo hata huu umoja wetu ambao haulingani na ule wa Marekani itabidi tuusahau!.Hivi umoja wa kitaifa wa nchi yetu unaweza kulinganisha na Marekani?Hapa kwetu tukipata adui tu kuna Watanzania wengi tu watakuwa upande wa adui!Hiyo ni tofauti na Marekani,wataparuana wenyewe kwenye siasa zao ila akitokea adui basi utashangaa wanavyokuwa wamoja!
Tanzania jambo kubwa linaloleta utengano ni siasa za kishamba na zilizopitwa na wakati!
Hujaelewa,hapa nakuelemisha kuwa sera ya kuanzisha majimbo iwapo itatengenezewa utaratibu mzuri inaweza kuwa na tija na isilete huo mgawanyiko unaouhubiri hapa!Ndio nikakupa na mfano!Lakini nimekueleza,Tanzania hatuna huo mfumo lakini siasa zetu za majitaka zimetugawa sana!Tanzania ya leo si ile ya Nyerere yenye uzalendo na umoja!Huwezi kunitesea ndugu zangu bila sababu wala misingi ya kisheria halafu utegemee upendo na ushirikiano kutoka kwangu!Huwezi kudharau maamuzi yangu katika sanduku la kura halafu utegemee ushirikiano wangu kwako!Tukikubaliana na sera ya majimbo hata huu umoja wetu ambao haulingani na ule wa Marekani itabidi tuusahau!.
Siasa za kishamba ni tafsiri binafsi ya mtu mmoja mmoja. Sera ya majimbo haitafuta hizo siasa za ushamba na zilizopitwa na wakati kwani utaibuka ushamba mwingine huko huko majimboni.
Wewe unayejua si utuambie sasa. ....!!Hujui kitu
Sasa yeye alipokuwa anabeep anakuwa hajaribu .....!!?Dr Akili,
Hao wajasiriamali, hata saccos yao imewashinda ndio iwe nchi. Sioni kiongozi kule anayeweza, tuvusha kwenda uchumi wa juu zaidi. Ukisikia Rais Magufuli anasema uongozi haujaribiwi, wengi wanadhani anatania. Lissu na saccos yao hawana pa kutupeleka watanzania, huo ndio ukweli.