Zamani ilikuwa unakuja CEMENT kutoka Pakistan pamoja na falme za kiarabu ilikuwa inauzwa Bei nafuu Sana Kama unavyojua toka magufuri na serikali yake waingie madarakani biashara huria zimekufa Kama ilivyo sukari nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.