Sarafu zinazoongoza kwa nchi kutunza hifadhi zake za akiba ya fedha za kigeni

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,610
46,254
1.Dollar ya Marekani: 58% ya hifadhi ya akiba ya fedha yote ya kigeni kwa nchi mbalimbali duniani iko katika USD.

2.Euro ya Umoja wa Ulaya(EU): 20%.

3.Deutsche mark ya Ujerumani: 6%.

4.Yen ya Japan: 5.5%.

5.Pound Sterling ya UK: 4.7%.

6.Yuan ya China: 2.7%.

7.Dola ya Canada:2.3%.

8.Franc ya Ufaransa: 2%.

9.Dola ya Australia:1.8%.

10.Franc ya Uswis: 0.2%.

Utajiuliza kwa nini nchi iweke akiba ya fedha za kigeni
Nchi hutunza fedha za kigeni kwa ajili ya kufanikisha manunuzi ya bidhaa na huduma nje ya nchi kwa raia binafsi, makampuni na serikali yenyewe.

Pia hutumika kama nyenzo ya kuongeza au kushusha thamani ya sarafu ya nchi husika pale inapohitajika.

Nini kinasababisha sarafu ya nchi fulani kupendelewa kuwekwa katika hifadhi
Jambo la kwanza ni kutoyumba sana kwa sarafu husika, sarafu isiyobadilika basilica thamani yake dhidi ya sarafu nyingine inaleta confidence, inaweza kutunzwa muda mrefu bila muhusika kuhofia hasara.

Jambo la pili ni urahisi wa kuibadilisha kwenda sarafu nyingine kwa haraka.
 
1.Dollar ya Marekani: 58% ya hifadhi ya akiba ya fedha yote ya kigeni kwa nchi mbalimbali duniani iko katika USD.

2.Euro ya Umoja wa Ulaya(EU): 20%.

3.Deutsche mark ya Ujerumani: 6%.

4.Yen ya Japan: 5.5%.

5.Pound Sterling ya UK: 4.7%.

6.Yuan ya China: 2.7%.

7.Dola ya Canada:2.3%.

8.Franc ya Ufaransa: 2%.

9.Dola ya Australia:1.8%.

10.Franc ya Uswis: 0.2%.

Utajiuliza kwa nini nchi iweke akiba ya fedha za kigeni
Nchi hutunza fedha za kigeni kwa ajili ya kufanikisha manunuzi ya bidhaa na huduma nje ya nchi kwa raia binafsi, makampuni na serikali yenyewe.

Pia hutumika kama nyenzo ya kuongeza au kushusha thamani ya sarafu ya nchi husika pale inapohitajika.

Nini kinasababisha sarafu ya nchi fulani kupendelewa kuwekwa katika hifadhi
Jambo la kwanza ni kutoyumba sana kwa sarafu husika, sarafu isiyobadilika basilica thamani yake dhidi ya sarafu nyingine inaleta confidence, inaweza kutunzwa muda mrefu bila muhusika kuhofia hasara.

Jambo la pili ni urahisi wa kuibadilisha kwenda sarafu nyingine kwa haraka.
Asante kwa taarifa
 
1.Dollar ya Marekani: 58% ya hifadhi ya akiba ya fedha yote ya kigeni kwa nchi mbalimbali duniani iko katika USD.

2.Euro ya Umoja wa Ulaya(EU): 20%.

3.Deutsche mark ya Ujerumani: 6%.

4.Yen ya Japan: 5.5%.

5.Pound Sterling ya UK: 4.7%.

6.Yuan ya China: 2.7%.

7.Dola ya Canada:2.3%.

8.Franc ya Ufaransa: 2%.

9.Dola ya Australia:1.8%.

10.Franc ya Uswis: 0.2%.

Utajiuliza kwa nini nchi iweke akiba ya fedha za kigeni
Nchi hutunza fedha za kigeni kwa ajili ya kufanikisha manunuzi ya bidhaa na huduma nje ya nchi kwa raia binafsi, makampuni na serikali yenyewe.

Pia hutumika kama nyenzo ya kuongeza au kushusha thamani ya sarafu ya nchi husika pale inapohitajika.

Nini kinasababisha sarafu ya nchi fulani kupendelewa kuwekwa katika hifadhi
Jambo la kwanza ni kutoyumba sana kwa sarafu husika, sarafu isiyobadilika basilica thamani yake dhidi ya sarafu nyingine inaleta confidence, inaweza kutunzwa muda mrefu bila muhusika kuhofia hasara.

Jambo la pili ni urahisi wa kuibadilisha kwenda sarafu nyingine kwa haraka.
Na ile sarafu ya 'Supa Pawa' flani, yaani RUBO ni ya ngapi?
 
1.Dollar ya Marekani: 58% ya hifadhi ya akiba ya fedha yote ya kigeni kwa nchi mbalimbali duniani iko katika USD.

2.Euro ya Umoja wa Ulaya(EU): 20%.

3.Deutsche mark ya Ujerumani: 6%.

4.Yen ya Japan: 5.5%.

5.Pound Sterling ya UK: 4.7%.

6.Yuan ya China: 2.7%.

7.Dola ya Canada:2.3%.

8.Franc ya Ufaransa: 2%.

9.Dola ya Australia:1.8%.

10.Franc ya Uswis: 0.2%.

Utajiuliza kwa nini nchi iweke akiba ya fedha za kigeni
Nchi hutunza fedha za kigeni kwa ajili ya kufanikisha manunuzi ya bidhaa na huduma nje ya nchi kwa raia binafsi, makampuni na serikali yenyewe.

Pia hutumika kama nyenzo ya kuongeza au kushusha thamani ya sarafu ya nchi husika pale inapohitajika.

Nini kinasababisha sarafu ya nchi fulani kupendelewa kuwekwa katika hifadhi
Jambo la kwanza ni kutoyumba sana kwa sarafu husika, sarafu isiyobadilika basilica thamani yake dhidi ya sarafu nyingine inaleta confidence, inaweza kutunzwa muda mrefu bila muhusika kuhofia hasara.

Jambo la pili ni urahisi wa kuibadilisha kwenda sarafu nyingine kwa haraka.
Ruble kumbe haimo?
 
Nimeitafuta RUBO haimo,eti na yeye ni Supapawa wakqti hela yake ni kama tu madafu ya Bongo,hakuna anaejishughulisha nayo
Nashangaa hakuna ya Russia, North Korea, Syria , Venezuela, Palestina mhh itakuwa source ya habari ni mchongo wa NATO ila naamini kwa source pendwa za warusi wa mchambawima russia itakuwa ya Kwanza so wasikonde
 
Sarafu ya Putini huwa inayumba kama mlevi, ni hatari kuiweka akiba yako ya fedha za kigeni kwayo.
Pia biashara kubwa nje ya nchi yako na nchi nyingi husababisha benki za nchi nyingine kuweka akiba ya fedha zako kwa wingi.
Sijaona sarafu ya putin hapo, kwani wao sio supa pawa mkubwa?
 
Back
Top Bottom