SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,117
- 8,096
nomaa... hii biashara huwezi kutafuta mteje wa kumuuzia ukampata.... mara nyingi wao wakikuona na hizo sarafu ndio wanakuomba muuziane...
normally Makonda wa daladala ndio huwa agents... ndio maana hizi sarafu zinapungua kwenye circulation
basi endapo hali hii itaachwa iendelee hivi hivi mkuu, hizi sarafu zikuja kupotea kabisa kwenye mzunguko.