Sarafu za shilingi mia tano bado zipo?

Sarafu za shilingi mia tano bado zipo?

nomaa... hii biashara huwezi kutafuta mteje wa kumuuzia ukampata.... mara nyingi wao wakikuona na hizo sarafu ndio wanakuomba muuziane...

normally Makonda wa daladala ndio huwa agents... ndio maana hizi sarafu zinapungua kwenye circulation

basi endapo hali hii itaachwa iendelee hivi hivi mkuu, hizi sarafu zikuja kupotea kabisa kwenye mzunguko.
 
mkuu hozo ni porojo tu ingekuwa hvyo wa kwanza kuzifanyia biashara ni wafanyakaz wa mabank mm nakwambia k2 ninachokijua c kukielewa 2

Sasa kuhusu wafanyakazi wa benki kweli sijafuatilia ila mimi kama mimi nimefanya iyo business mpaka ilipokua illegitimate nikaacha. Jero nimeuza kwa buku 2 nilikuwa na sarafu 20 nikapewa 40, 000/= iliyojaa, arusha maeneo ya metropole.
 
Embu kajaribu uone kama watakua nazo. Halafu uache ubishi mi mwenyewe nishaziuza za kutosha ila am nt sure kama bado ni deal.

sasa ni hv mkuu ni PM number yako mm ntakupigia cm kesho asubuh uje uzichukue za ela yeyote unayotaka
 
kuna uwezekano uliwauzia waganga wa kienyeji au uliwauzia wale wenye fikra kama za watu weng kwenye thread hii sasa mm nataka nikupe dili sasa kama unaona ni dili ni PM number yako then kesho asubuh ntakupigia uje ofisini nikuchukulie coin za milion 3 ukaziuze then ulete mrejesho hapa JF kama umefanikiwa kuziuza

mkuu hii kitu inaonekana ni kweli.
 
kuna uwezekano uliwauzia waganga wa kienyeji au uliwauzia wale wenye fikra kama za watu weng kwenye thread hii sasa mm nataka nikupe dili sasa kama unaona ni dili ni PM number yako then kesho asubuh ntakupigia uje ofisini nikuchukulie coin za milion 3 ukaziuze then ulete mrejesho hapa JF kama umefanikiwa kuziuza


hii biashara huwezi kutafuta mteja wa kumuuzia ukampata.... simply kama unavyodhani...

ni bahati yako tuu

mara nyingi wao wakikuona na hizo sarafu ndio wanakuomba muuziane...

normally Makonda wa daladala ndio huwa agents... ndio maana hizi sarafu zinapungua kwenye circulation.


hata mimi sijui nitaenda kuuza wapi Leo nikitaka....

it's illegal business hata hivyo.



Hahaa niku PM ili .......mimi sijui nani wananunua... I just came across with such a deal.

& nilishangaa but ndio hivyo ...I sold the coins
 
Hii sio injili kwamba tutaendelea kushawishi mtu aamini kuwa this business is real but secret one (not exposed) ...

& it's illegal business ,,very risky to conduct as per state laws
 
basi endapo hali hii itaachwa iendelee hivi hivi mkuu, hizi sarafu zikuja kupotea kabisa kwenye mzunguko.

MKUU HII NI BIASHARA HARAMU

....SERIKALI HUWA IKISIKIA MAMBO YA RUMORS INAPUUZIA... BUT IT'S CONSEQUENCE WILL BE VERY BAD KWA UCHUMI WETU.

ALTHOUGH UKIKAMATWA...


-------


UTAELEZA KWANINI DR SLAA YUPO KIMYA MPAKA SASA.


Hahaaaaaaaa.just a joke


but the business is real but illegal & risky
 
hizi ni porojo kama za popobawa nani katumia mia tano kutengeneza chain ingekuwa hnyo wangeaza kuziiba wafanyakazi wa bank kuu nenda bank kuu then sema nataka coin za mia tano tano ata ukitaka za 100,000,000 trust me watakupatia

Mzee leta kama unazo watu wananunua moja kwa buku 2 na mia tano
 
Kuna sehem nilienda kikaz nikiwa katika pita pita zangu Kuna jamaa alikuja na fuko la hzo cions wanunuz walitaka ad kupigana ila mchongo mzima nenda sonara they know every thing about this business ila wako makin sana wanaweza wakakupiga koz wanaogopa silikal so jipange
 
kuna uwezekano uliwauzia waganga wa kienyeji au uliwauzia wale wenye fikra kama za watu weng kwenye thread hii sasa mm nataka nikupe dili sasa kama unaona ni dili ni PM number yako then kesho asubuh ntakupigia uje ofisini nikuchukulie coin za milion 3 ukaziuze then ulete mrejesho hapa JF kama umefanikiwa kuziuza

mkuu na Mimi nije?
 
Mwanangu anazo zenye thamani ya 12000/- sikujua kwa nini ataki kuzitumia, ila kwa kiasi ulichotaja hapa ni kidogo sana namwambia asiuze.
Mzee leta kama unazo watu wananunua moja kwa buku 2 na mia tano
 
Tetesi nilizosikia zilikuwa zinauzwa hadi she 5,000 kwa moja.

Mimi ninazo kama kumi hivi ila usinitafute siuzi naweka kumbu kumbu nitakuja kuwa onyesha wanangu hela iliyo tumika kwa muda mfupi tanzania
 
combination ya fedha hiyo ni 6% nickel plated 94% ni mchanganyiko wa madini mbalimbali bt si madini ya silver ni langi peke yake ndo ya silver BOT coin pekee walizotengeneza kwa silver ni zile medals walizotunikiwa viongozi na watu mbalimbali katika miaka 50 ya uhuru wa tanganyika na miaka 50 wa mapinduzi ya zanzibar hizo za kusema coin ni real silver ni porojo za mitaani tu bt in real fact si silver
 
Wakuu mimi natafuta coin za sh. 20 zile mwenye nazo ani PM

mkuu najua unatafuta ya mwaka 1993 kwa bahati mbaya coin za sh 20 zilitoka mwaka 1991 lakn mwaka 1993 tuli skip coin za mwaka 1993 series zake ni sh 5,10 na sh 100
 
Back
Top Bottom