jiwe jeusi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 863
- 850
duh!,basi wabongo ni noma
nouma kweli mkuu..
duh!,basi wabongo ni noma
hizi ni porojo kama za popobawa nani katumia mia tano kutengeneza chain ingekuwa hnyo wangeaza kuziiba wafanyakazi wa bank kuu nenda bank kuu then sema nataka coin za mia tano tano ata ukitaka za 100,000,000 trust me watakupatiaHuyo jamaa haelewi sakata la coins za 500.
Hizi coins zimetengenezwa kwa madini ambayo wajanja wa town wamegundua wakiziyeyusha wanatengenezea mikufu, hereni n.k.
katika fedha iliyo ktk mzunguko mkubwa kuliko fedha zote ni sh 500 na ktk fedha ambayo nyingi zimechakaa kutokana na kuzunguka ktk mikono ya watu mbalimbali ni sh 500 ndo maana wakaja na wazo la kutengeneza coin za sh 500 coz zenyewe ndo zipo kwenye mzunguko sanasasa inakuwaje jelo za noti ziendelee kutengenezwa mpya wakati za coin ambazo ndio mbadala wake zipo??
katika fedha iliyo ktk mzunguko mkubwa kuliko fedha zote ni sh 500 na ktk fedha ambayo nyingi zimechakaa kutokana na kuzunguka ktk mikono ya watu mbalimbali ni sh 500 ndo maana wakaja na wazo la kutengeneza coin za sh 500 coz zenyewe ndo zipo kwenye mzunguko sana
hizi ni porojo kama za popobawa nani katumia mia tano kutengeneza chain ingekuwa hnyo wangeaza kuziiba wafanyakazi wa bank kuu nenda bank kuu then sema nataka coin za mia tano tano ata ukitaka za 100,000,000 trust me watakupatia
naskia ni raw material ya cheni alooo..
Ni kweli hizo jero zishakuwa dili babu. Ila ukikamatwa unafanya hiyo biashara ni lock up
mkuu hozo ni porojo tu ingekuwa hvyo wa kwanza kuzifanyia biashara ni wafanyakaz wa mabank mm nakwambia k2 ninachokijua c kukielewa 2
MAENEO YA KARIAKOO HIZI SARAFU ZINAUZWA...
IMEGUNDULIKA MATERIAL YA SARAFU HII YANA THAMANI KULIKO SARAFU YENYEWE...
ZINAUZWA KUANZIA 1500/- MPAKA 5000/- single Coin.
JEWELLERY WANAZITUMIA KUTENGENEZEA PETE NA MIKUFU YA THAMANI..... NA HIVYO KUKUZA KIPATO NA MTAJI WAO.
Watu tunauza coins za 500 kwa 10,000,hii biashara siachi inalipa sana, kama bado hujashtukia dili umechelewa!
so,unataka kusema mkuu apart from serikali kufaham jelo za noti ndio zinazozunguka mikononi mwa wananchi zaid, na uimara wake ni mdogo, still bado wanaendelea tu kuzichapisha???
hatari hii..dah!
dahh!", basi serikali imekula kwao
kwa kweli watujuze na mimi ninazo nyingi kweliJamani ninazo kibao tujuzane wapi wapo wanunuzi
Kamata fursa mkuu!
hizi ni porojo kama za popobawa nani katumia mia tano kutengeneza chain ingekuwa hnyo wangeaza kuziiba wafanyakazi wa bank kuu nenda bank kuu then sema nataka coin za mia tano tano ata ukitaka za 100,000,000 trust me watakupatia