Sarafu za shilingi mia tano bado zipo?

Sarafu za shilingi mia tano bado zipo?

hapa ninachokataa ni kuwa eti coins za 500,zimekosekana ktk mzunguko kisa commercial banks, hazizikubali toka BOT!!! kweli hii ni logic, kwa hiyo hizi za note zinapochakaa watakwenda kughalamika kuchapisha nyingine na huku hizi za coins zimejaa bank kuu kisa hazitakiwi na mabank ya biashara?? kwanini wasiwambie ni lazima uchukue nusu kwa nusu??! kusiwe na option. Hiyo sababu haijitosherezi, na baada ya muda mfupi utakuja kujua ni nini tunazungumzia. it is the matter of tyme.
 
kuna jamaA nilikutananae ananunuA sarafU mojA ya 500 kwA bukU 2.nadhanI yule jamaA atakuwA ni sonarA
 
Leo nimemkuta nazo mtu kama tatu ivi kwenye daladala zenji uku
 
Hizi sarafu nna karbia nusu mwaka sijazitumia wala kuziona, maybe zimepigwa stop.
 
Back
Top Bottom