Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 25
Mipango imeanza ya kuona uwezekano wa kuanzisha SARAFU MOJA kwa Afrika mashariki.
Mimi naona kuwa kiuchumi mpango huu si sahihi kwani nchi za Afrika mashariki bado zinatofauti kubwa sana kiuchumi.
Mpango huu utazidhoofisha nchi ambazo uchumi wao una suasua nyuma ya wenzake.
Hili mwalionaje wana JF?
Ni sahihi kufanya juhudi kufanikisha mpango huo?
Mimi naona kuwa kiuchumi mpango huu si sahihi kwani nchi za Afrika mashariki bado zinatofauti kubwa sana kiuchumi.
Mpango huu utazidhoofisha nchi ambazo uchumi wao una suasua nyuma ya wenzake.
Hili mwalionaje wana JF?
Ni sahihi kufanya juhudi kufanikisha mpango huo?