AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
....Duh!
..Unaweza kuwa Fortune teller..
Tulizo habari yako bana....
BTW nime-Miss your former Avatars that suits you so.... lol
....Duh!
..Unaweza kuwa Fortune teller..
Hee, Ashadii kulikoni leo?
Vin umepotea kakangu' why??
Majukumu ndio yalinibana kidogo... ila sasa mambo safi...mic u...
Huyo jamaa wa juu hata sijaona cha kumjibu.
Nilitaka kusema kitu ili nikakumbuka tupo chit chat....
Pole... Majukumu is good hasa kwako ambae ni kijana..... Missed u too
Kuhusu hii thread as much as ni Chit Chat, ndo maana ilinipa Confidence
kwamba i am half serious and half not... why not try just for fun...lol...
Hebu sema ulotaka kusema bana wacha kubania (hakikisha usinipiku kupata zawadi)
Si wajua tena ndugu kuna wakati akili zikagongana kwenye jambo moja....hapa umeniwakilisha vizuri sana...lol
Tulizo habari yako bana....
I am curious... Why the change??
This quote will help"The word consigliere comes from the Italian for counselor or advisor, most famously for anorganized crime boss. In Mario Puzo's Godfather movie series, Robert Duvall's character Tom Hagen is a consigliere to the fictional Corleone crime family.Walichoandika AD na VD ni uongo, kujipendekeza kuliko tukuka kwako. Wamekugeuza JK kwa vizawadi vya "airtime" uchwara kama mkuu anavyopotoshwa na washkaji zake na kuwatunukia vyeo mbalimbali. Hilo jina kwenye "Godfather" na wala sio "God father" halipo. Nahisi AD kwa kuwa ni small house yako hivyo ni wajibu wake kulilinda penzi. Jina hilo maana yake "mtu mwenye hulka za kifedhuli, baradhuli, kishenzi, hila mbaya, nyang'au na jasusi." potea na kivocha chako cha jero hapa hupati mtu. Fisadi hana jema!
Napenda saaana Zawadi.... Ila tu kwa hili kama in-case nimeshinda nitaomba mimi ndo nikupe zawadi.... Is it allowed?? I wonder.... Post yangu inahusu kujaribu kukufafanua.... kwa upeo wangu ulipoishia....
Umetumia jina la Consigliere... Nimewahi uliza kwa one of a friend of mine neno Consigliere ni nini?? Nikaambiwa... NO' It is a name not a word, a name Chosen out of the Movie ya one of my Favourites Writter Mario Puzzo... Hilo jina likiwa owned by one of the most trusted person by Don Corleone of the Famous book/movie of "GOD FATHER" An all time movie.... Alipo niambie hivo that is when i noted as much as i appreciated the Lawyers part in the movie.... I never really did catch his name na i have watched the Movie more than 15 times....
Naangalia tena Avatar ulochagua.... Mara ya kwanza ilikua inanichanganya nikifikiri Mzizimkavu kabadilisha Jina... Only to notice no.... you are you. Then nafikiri kaweka picha ya one of the Great minds ever born hapa duniani... Just after kifo chake (Steve Jobs may he rest in peace) Thank God post zako as much as ni chache si haba.... Hukurupuki... I first noticed and knew you kwa post yako ya kwanza kati thread yangu ya Siasa Related.
Na observe signature as i always do za members woote... I relate it to the name you have chosen, to the Man who presents the man behing and i see zimeshahabiana saaana.... Na i say to myself, kwa vovote vile this man knows what he wants in life, how and where to get it. Na nafurahi for ni wachache wana bahati hio....
I may however be wrong... But No matter how wrong i am, that ... what i have written is what and how you look at JF, At least to me.... Hasa nikiunganisha na comment yako katika thread ya JF Super stars on the whole aspect ya kujiamini....
I pray God I win.... Dah! Mpaka mkono umeuma na ubongo kufikiria.....lol....
Pamoja Saaana
AshaDii.
Kwa post yako ya 500 sisi ndio tunatakiwa kukupa zawadi, not the other way round! nakualika for a drink and a social evening!
Napenda saaana Zawadi.... Ila tu kwa hili kama in-case nimeshinda nitaomba mimi ndo nikupe zawadi.... Is it allowed?? I wonder.... Post yangu inahusu kujaribu kukufafanua.... kwa upeo wangu ulipoishia....
Umetumia jina la Consigliere... Nimewahi uliza kwa one of a friend of mine neno Consigliere ni nini?? Nikaambiwa... NO' It is a name not a word, a name Chosen out of the Movie ya one of my Favourites Writter Mario Puzzo... Hilo jina likiwa owned by one of the most trusted person by Don Corleone of the Famous book/movie of "GOD FATHER" An all time movie.... Alipo niambie hivo that is when i noted as much as i appreciated the Lawyers part in the movie.... I never really did catch his name na i have watched the Movie more than 15 times....
Naangalia tena Avatar ulochagua.... Mara ya kwanza ilikua inanichanganya nikifikiri Mzizimkavu kabadilisha Jina... Only to notice no.... you are you. Then nafikiri kaweka picha ya one of the Great minds ever born hapa duniani... Just after kifo chake (Steve Jobs may he rest in peace) Thank God post zako as much as ni chache si haba.... Hukurupuki... I first noticed and knew you kwa post yako ya kwanza kati thread yangu ya Siasa Related.
Na observe signature as i always do za members woote... I relate it to the name you have chosen, to the Man who presents the man behing and i see zimeshahabiana saaana.... Na i say to myself, kwa vovote vile this man knows what he wants in life, how and where to get it. Na nafurahi for ni wachache wana bahati hio....
I may however be wrong... But No matter how wrong i am, that ... what i have written is what and how you look at JF, At least to me.... Hasa nikiunganisha na comment yako katika thread ya JF Super stars on the whole aspect ya kujiamini....
I pray God I win.... Dah! Mpaka mkono umeuma na ubongo kufikiria.....lol....
Pamoja Saaana
AshaDii.
umeoa mkuu?
Walichoandika AD na VD ni uongo, kujipendekeza kuliko tukuka kwako. Wamekugeuza JK kwa vizawadi vya "airtime" uchwara kama mkuu anavyopotoshwa na washkaji zake na kuwatunukia vyeo mbalimbali. Hilo jina kwenye "Godfather" na wala sio "God father" halipo. Nahisi AD kwa kuwa ni small house yako hivyo ni wajibu wake kulilinda penzi. Jina hilo maana yake "mtu mwenye hulka za kifedhuli, baradhuli, kishenzi, hila mbaya, nyang'au na jasusi." potea na kivocha chako cha jero hapa hupati mtu. Fisadi hana jema!
Nasoma comment yako... Narudi kwenye jina, "Tigger" then inevitably naenda kwenye Signature yako.... Naunganisha dots..... Huku telling myself be careful of this wity member (maybe it is because i know your prominent Alter the so famous name hapa JF ambayo ipo behind bars... That alone inaniambia kua it is beta i say no more for i am already in trouble with the member kwa ajili ya mambo haya haya ya kujifanya namjua member kwa jina la bandia..... Na najuta why ever i had used the word "eccentric" to define the person in question. Hivo naona kabisa wacha ni heed hayo maneno (T-I-double geh err)
"astara vista amigo"
AshaDii.
vocha naitaka, ila mashindano sitaki, tenda haki!
Post: 504.Kwa post yako ya 500 sisi ndio tunatakiwa kukupa zawadi, not the other way round! nakualika for a drink and a social evening!
zawadi yangu lini?Post : 501
Haka kaswali , nimekapenda hadi moyo umelia gudu gudu...... Si unajua tena kanaashiria neema fulani pia masilahi binafsi..lol
Post: 505Hehehe! We dawa ni kuporomoshewa mitusi hadi utajibu mwenyewe. Ngoja nikachukue dictionary langu la matusi kwa klorokwin.