nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,675
- 14,054
Katika magari ya zamani...hasa ISUZU TXD 50 ilikuwa ina shida sana kwa upande wa Diff..sasa kulikuwa na utaalam wa kusanifu matengenezo na utaratibu wa 'pinion'...katika yote hayo baada ya matengenezo sharti kichwa cha shaft kiweze kulengwa kwenye tundule pasi na kuvunja meno ya sahani kuu yenye meno...si mchezo....hatua ya kwanza shaft inasimamishwa,,,,,, hatua ya pili sahani yenye tundu hulazwa ......halafu bila kukosea shaft yapenya na kuingia kwenye tundu...sema AMEN,