...alisimama kwa chama gani!?
...mbona mpaka mzee wa "busara" wa chama alienda kumuuza!
Sio chaguo la wanaccm tu bali HAKUWA CHAGUO LA WANAARUMERU MASHARIKI PIA!
Mzee Sitta si mnafiki .Chama na Magamba wana upeo mdogo sana wa kusoma alama za nyakati ,ndio maana viongozi wote wenye maamuzi ni wazee waliokuwa viongozi tokea miaka ya 75-90.Kwahiyo kumwita Sitta mnafiki ni kama kumpa sifa kuwa anaelewa mambo ila unafiki unamsumbua .Huyu haelewi anachosimamia hata siku moja kwa kuwa anauelewa mdogo wa kuchanganua mambo.Siku zote anahadaa watu kwa uzoefu wake ili hali hana maono.Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
kwa mizengwe.
Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari
Mytake:
Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
maana unafiki wake ndo unamponza