Mzee Six hana jipya tena; kishindo cha CDM kinatishia mawazo na ndoto zake az kuukwaa uraisi 2015Hakuwa chaguo la wana ccm!!!alafu anamuomba mwenyekiti gani asafishe chama wakati ni jk aliongoza vikao mara mbili na kumpitisha sioi? Tulieni mnyolewe
Sasa alipogombea alikuwa amechaguliwa asimame kwa tiketi ya chama gani, CCJ?Samwuel SItta: SIOI SUMARI HAKUWA Chaguo la wanaCCM
Sio tu inawezekana, bali yuko sahihi kabisa. Tatizo la CCM (na baadhi ya vyma vyengine) huwa wanalindana na kwa kuheshimiana kiwoga. Hii inaonesha hata kama mtu atakuwa na mawazo pumba, anapigiwa makofi na hoja inapitishwa. Ninachomshangaa Mzee 6, alikuwa wapi mzee mzima wa chama mpka akapitishwa mtu asiyekubalika na chama chake? Wao si ndio walimchagua, au wamechaguliwa na CDM?Inawezekana maneno yake yana ukweli ndani yake, chakujiuliza ni kwa nini hawakumzuia huyo aliyekuwa anampandikiza na kumweka aliye chaguo la CCM?
Hakuwa chaguo la wana ccm!!!alafu anamuomba mwenyekiti gani asafishe chama wakati ni jk aliongoza vikao mara mbili na kumpitisha sioi? Tulieni mnyolewe
Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
kwa mizengwe.
Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari
Mytake:
Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
maana unafiki wake ndo unamponza
Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
kwa mizengwe.
Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari
Mytake:
Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
maana unafiki wake ndo unamponza
Nimeshangazwa sana kusikia Mh. S. SItta
akisema Sioi hakuwa chagua la wanaccm maana kapandikizwa
kwa mizengwe.
Akiongea kwa masikitiko kwa ccm kuzidi kudhoofika na kutokukubalika
kwa wananchi amamuomba mwenyekiti wa chama kusafisha chama ili nyota
ya chama ianze kung'ara. Hii ni kwa mjibu wa sitta baada ya kuongea na waandishi wa HAbari
Mytake:
Naona chama kinazidi kuparaganyika na sitta anazeeka vibaya
maana unafiki wake ndo unamponza