kwaa! kwaa! nikimsikia tu anazungumza nazima tv au radio.
Ningemshangaa sana kama angekaa kimya kwa kudhalilishwa hivi.Ningemuona muoga.
Bado Joseph Msukuma wa Geita na Jesca wa Iringa
Hivi Mary Chatanda bado tu ?
Halafu wanawake wa CCM ni waoga.Vijana na wazee wameonyesha kusimama kidete kwenye hili swala.Nawashangaa akina Shelukindo wapo kimya.Hivi Anna Kilango ni coward kiasi hiki?
Ningemshangaa sana kama angekaa kimya kwa kudhalilishwa hivi.Ningemuona muoga.
Bado Joseph Msukuma wa Geita na Jesca wa Iringa
Hivi Mary Chatanda bado tu ?
Halafu wanawake wa CCM ni waoga.Vijana na wazee wameonyesha kusimama kidete kwenye hili swala.Nawashangaa akina Shelukindo wapo kimya.Hivi Anna Kilango ni coward kiasi hiki?
Uyo babu wa Gerezan Ritz huwezi muona hapa..Mkuu Ritz mzee wa kuchochea kuni wiki hii sijamuona kabisa au kaishiwa kuni tumsaidieee! Tunamsubili M/kiti uvccm naye alipuke na yule dogo kwa kulipuka lazima ccm iwe chaliii labda asiruhusiwe kutoa tamko!!! JK yy kesho lazima atoe tamko yaani ni mwendo wa matamko mpaka ccm ziwe 2 mwaka huu
Ila Sitta ni Muoga sana sijui kama atakuwa na Guts za kumjibu Kiyabo ishu ya CCJ maana nasikia ule mchango wake wa 500, 000 uko kimaandishi