Samwel Sitta kulipuka Jumatatu!

Samwel Sitta kulipuka Jumatatu!

Ridiwani china hajasahau,akfungua ndomo tu kila punje ya unga hadharani
 
Aanze na CCJ na jinsi alivyowasaliti wenzake kina Mpendazoe
 
Kwani Sitta toka ameanza kutoa kauli za kuipinga serikali yake ya ccm pamoja na huo ufisadi anaousema ni lipi limefanyiwa kazi? Ninavyofahamu mimi huo Sitta nao anakundi ndani ya ccm kwa hiyo sitegemea kama atazungumzia makundi ndani ya chama labda kama atakuja kutwambia kuwa kundi la Lowasa limewazidi kwa hela na watu wanaolikubali, pia ningependa kumwambia Sitta atakama atazungumza hakuna litakalofanyiwa kazi na hawezi kupambana na mafisadi wakati uko ndani ya chama kinachokumbatia ufisadi.
 
Ningemshangaa sana kama angekaa kimya kwa kudhalilishwa hivi.Ningemuona muoga.

Bado Joseph Msukuma wa Geita na Jesca wa Iringa

Hivi Mary Chatanda bado tu ?

Halafu wanawake wa CCM ni waoga.Vijana na wazee wameonyesha kusimama kidete kwenye hili swala.Nawashangaa akina Shelukindo wapo kimya.Hivi Anna Kilango ni coward kiasi hiki?

Kwa hawa UWT na JUMUIYA YA WAZAZI waoga sana. Wapi Abdalah Bulembe tunahitaji kusikia Busara zake. Wapi Le Mutuz hawa si ndio viongozi wa wazazi CCM
 
Ningemshangaa sana kama angekaa kimya kwa kudhalilishwa hivi.Ningemuona muoga.

Bado Joseph Msukuma wa Geita na Jesca wa Iringa

Hivi Mary Chatanda bado tu ?

Halafu wanawake wa CCM ni waoga.Vijana na wazee wameonyesha kusimama kidete kwenye hili swala.Nawashangaa akina Shelukindo wapo kimya.Hivi Anna Kilango ni coward kiasi hiki?

Mkuu Ben usimalize kuni zote wakati huu,huko mbeleni kuna Masika kubwa inakuja,chochea kidogo kidogo tuu,teh teh teh.
 
Ila Sitta ni Muoga sana sijui kama atakuwa na Guts za kumjibu Kiyabo ishu ya CCJ maana nasikia ule mchango wake wa 500, 000 uko kimaandishi
 
Wapi Madada Pacha Simiyu Yetu na Simiyu Voice,Ritz,Msalani,Ifweero,Dada Hamida,Mwekundu,Chamviga et al.
 
Watuache na Lowasa wetu..... Ashachelewa hata alipuke vp....
 
...weweee alipuke tu mpaka wawake moto na wateketeee magamba wooote...
 
Ningependa awe na magufuri.mwakyembe. hapo mambo yatakuwa byeee
 
Nijuavyo mimi ni kwamba sitta ni mnafiki sana ndiye aliyewazuia wabunge kuendelea kuhoji richmond a.k.a dowans akiwa spika.hii ilitokana na kutishwa na ccm kwamba wanamnyang'anya kadi kisha anapoteza ubunge.ndipo akasalimu amri hivyo hata kama atasema lolote sikubaliani nae na yeye ni gamba tu.
 
Mkuu Ritz mzee wa kuchochea kuni wiki hii sijamuona kabisa au kaishiwa kuni tumsaidieee! Tunamsubili M/kiti uvccm naye alipuke na yule dogo kwa kulipuka lazima ccm iwe chaliii labda asiruhusiwe kutoa tamko!!! JK yy kesho lazima atoe tamko yaani ni mwendo wa matamko mpaka ccm ziwe 2 mwaka huu
Uyo babu wa Gerezan Ritz huwezi muona hapa..
 
Ila Sitta ni Muoga sana sijui kama atakuwa na Guts za kumjibu Kiyabo ishu ya CCJ maana nasikia ule mchango wake wa 500, 000 uko kimaandishi

Hivi Zitto alichanga ngapi au yeye alichanga Chauma.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom