JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.
Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.
Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.
Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.
Si jambo la kushangaa!1 Kwani si alikuwa kiongozi wa kukatisha mkataba uliopelekea malipo haya?
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.
Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.
''You are always clear'' with the lack of clarity! Acha kuwa mvivu wa kufikiri , na usipende kuwa hodari wa umbea! Sitta anajaribu kuwa na mawazo huru yasiyo fungwa na uwaziri! Si lazima ukiwa waziri ushabikie usiri haramu! Je unamkumbuka bi clare short wa uingereza wakati wa sakata la radar ya tz?
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.
Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.
Nionavyo mimi anachofanya Sitta ni siasa za unafiki. Ukikaa ktk takataka nawe unakuwa takataka. Utajisafisha vipi wakati nawe na sehemu ya takataka! Dr SLAA wakati anafungua kampeni zake jangwani Dar, alisema CCM hakuna msafi. Vipi mnamtetea Sitta. Ni mnafiki na mzandiki. Vipi unaweza kula chakula na muda huo huo unakitemea mate. Kama anaona Serikali anayoitumikia haifai, vipi asikae pembeni? Kama hana chuki binafsi na kama hana lengo la kumharibia JK, vipi kila siku anainyong'onyeza serikali yake?
Nail them Six...nail them hard and more harder!! Ila usisahau ukajipiga kidole na hiyo nyundo yako....