Samsung zilizofungiwa na TCRA

Samsung zilizofungiwa na TCRA

Mk
samsung cyo kwamba zimefunguwa, imei number au serial number huwa ziko blacklisted au nyingine huwa zina corrupted imei ambazo huwa zinasomeka kama hvi... 000490............ and so on. sababu ya imei kuwa blacklisted ni pale inapotokea imei za cmu yako zimefanana na za cmu nyingne may b kwa kuwa hzo imei zaliwahi tumika zikaandikwa kwenye cmu nyingne au certificates za bure zilizopo mitandaoni ambapo kila aliyetumia hyo certificate atakumbana na hlo tatizo na kuna kitu kinaitwa super imei kwenye tools km BST au OCTOPUS... hizi ni imei zinazotolewa na tool husika na kila mwenye hyo tool anaweza kuzitumia so imei moja inapotumiwa mara nyingi inakuwa blacklisted.. SOLUTION.. kubadili imei kama hyo cmu inasupport imei change ila ni KINYUME NA SHERIA ZA TCRA na ni KOSA LA JINAI kwa cmu ambazo hazisupport imei change basi yakupasa kununua certificate ambayo itakuja na imei na serial number
Mkuu mimi samsung note 1 gafla haisomi lain wala network haipandi na baseband haisimi pia unaweza kunirekebishia?
 
JAMANI NA MIMI NISAIDIENI samsung note 1 gafla haisomi lain wala network haipandi na baseband haisimi pia unaweza kunirekebishia?
 
Hakuna namna nyingine kwenye Samsung zaid ya kununua certificate na hilo tatizo halitokea bure bali ni IMEI inakuwa imewai kubadilishwa na baadaye unaRestore Cm certificate inafel na hatimaye huleta 000000 nyingi kwenye IMEI
 
Niliwafata Samsung pale Kkoo wanasema nitoe 130,000 na simu niiache kwa siku 5.

Ebo! Yaani simu ijichange IMEI yenyewe mimi nikatoe hiyo pesa? Kwa kweli nilimtazama yule dada kisha nikaweka simu mfukoni haraka sana kabla hasira hazijanipanda zaidi.
Ni kazi haramu japo ni rahisi sana kuifanya
 
Ni kazi haramu japo ni rahisi sana kuifanya
Kwani Mkuu nani alaumiwe kwenye kesi kama hii, mimi sijabadili hii IMEI namba na wala sijui ni wapi unabadilisha na kwanza sikujuaga kama IMEI inaweza ikabadilika. Nimeshangaa tu IMEI imebadilika, nimewaambia Samsung wanasema nitoe hizo pesa wakati tatizo ni la simu yao.
 
JAMANI NA MIMI NISAIDIENI samsung note 1 gafla haisomi lain wala network haipandi na baseband haisimi pia unaweza kunirekebishia?
Hizi Note 1 na S4 kurudi nyuma nyingi zinarekebishwa kwa dakika chache kupitia Odin na App flani hivi kwa ajili ya Samsung, kupitia hili tatizo ghafla nimeanza kuzijua hizi App.
 
Hakuna namna nyingine kwenye Samsung zaid ya kununua certificate na hilo tatizo halitokea bure bali ni IMEI inakuwa imewai kubadilishwa na baadaye unaRestore Cm certificate inafel na hatimaye huleta 000000 nyingi kwenye IMEI
Sh.ngapi hiyo Certificate?
 
JAMANI NA MIMI NISAIDIENI samsung note 1 gafla haisomi lain wala network haipandi na baseband haisimi pia unaweza kunirekebishia?
hyo yako itakiwa na unknown baseband na ukicheki imei inaleta NULL, hyo inapona mkuu
 
Hakuna namna nyingine kwenye Samsung zaid ya kununua certificate na hilo tatizo halitokea bure bali ni IMEI inakuwa imewai kubadilishwa na baadaye unaRestore Cm certificate inafel na hatimaye huleta 000000 nyingi kwenye IMEI
kuanzia s2 na note 2 kushuka chini zenyewe hazina certificate hapo unacheza tu na EFS... kuanzia s3 ndo zina certificate mkuu
 
Nipo dar temeke (
Mbagara sabasaba)
asee uko mbali sana na nilipo... nadhani hata huko kutakuwa na mafundi na miongoni mwao kutakuwa na fundi mzuri. nenda tu uwapelekee au uende k koo utafanikisha kwa elf15 had 20
 
Back
Top Bottom