T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,936
Sasa kama Samsung anatengeneza display kali na kuiuzia Apple utasemaje Apple anazo display kali kushinda za Samsung. Angekuwa na display kali angenunua za Samsung ambazo ni low quality? Kwanza display gani ya iPhone inakaa mbele ya display bora zaidi ya Samsung.Mzee hv ukiuza shamba utabaki kusema lako??. Na iphone 12 hajaproduce displays ask me why
Sasa kama Samsung anatengeneza display kali na kuiuzia Apple utasemaje Apple anazo display kali kushinda za Samsung. Angekuwa na display kali angenunua za Samsung ambazo ni low quality? Kwanza display gani ya iPhone inakaa mbele ya display bora zaidi ya Samsung.
Hio picha nilioweka cha kwanza hicho.Elezea vitu anavyo copy
Hivi mkuu hata umewahi kushika side to side flagship ya samsung na Apple? Even simu za zamani kama s6 ama Note 5 zina Display kali sana kurival iphone za sasa.The point ni kwamba samsung anawatengenezea apple display kali, yeye anaweka za kawaida kwenye cm yake
Apple hana hata display ya simu yenye 120Hz, hana hata curved screen. Sijui unataka unambie nini kuhusu display zake hadi mwaka huu wa 2020. Kwanza screen za iPhone hazistahili kushindanishwa na Samsung. Hata Asus anamkimbizaThe point ni kwamba samsung anawatengenezea apple display kali, yeye anaweka za kawaida kwenye cm yake
You know what die for in a womans body! That pretty round thing looks good to me 😍Oooh...N what present will I gift you?...i heard wazungu saying there's no free lunch?
Hahahah unajua kinachofanya tofauti kubwa ni software endeshi.Hzi campun hata sizielewi samsung 2018 kamuuzia iphone display apple za iphone x oled cha ajabu display za apple zilikua display kali kushinda hta hao samsung walomuuzia, sony wanatengeneza camera za iphone lakn iphone inashot picha kali kuliko hata sony. Ujue hawa jamaa hawapo serious.
Mmmh Tanzania bhana!The point ni kwamba samsung anawatengenezea apple display kali, yeye anaweka za kawaida kwenye cm yake
Display ni hizo hizo tu sema wana re-brand na kuweka signatures zao tu. Enhancement kidogo kisha unaipa jina. Hao Apple display zao toka awali wanaziitaga Retina displays ila sasa wame re-brand na kuita Retina XDR to push sales za iP12.Kuhusu display Samsung kasupply za iphone x tu.. oled sahv apple wana display zao super retina xdr
Hiyo style ya camera ipo Motorola siku nyingimleta uzi umepuyanga...
.
hao Apple ndo mabingwa wa kuiga miundo ya sim za wengine mfano mkubwa ni macho matatu waliiga kuoka kwa huawei mate 20 pro, ukiangalia mate 20pro imetoka 2018 afu iphone 11 imetok 2019.
.
pia kwa ishu ya tyle wa kioo waliga kwa huawei p20 bro. fanya uchunguzi kbla ya kuleta uzi...
Apple siku zote ndiyo wamekua wakitoa muongozo wa design za smartphones zote duniani kuanzia muonekano wa kasha hadi camera na kioo.
Sasa iphone wametoa toleo jipya la iphone 12 ambalo kimuonekano ni kama limerudi kwenye iphone 5 ya boksi boksi.
Sasa apple kwa mabadiliko haya ya shepu ya iphone tunategemea wafuasi wake wote samsung, tecno, xiaomi, mi, lg etc wataiga kwa matoleo yao yajayo.
Basi kama itatokea samsung na wafuasi wenzake wa apple hawataiga muonekano mpya wa apple basi tutachukulia kuwa nguvu ya ushawishi ya apple kwa wafuasi wake imepungua sana.
Ila nna uhakika muda si mrefu tutaone wafuasi wa apple akina samsung na wenzake watakuja na matoleo yao mapya yenye muonekano wa boksi kama wa iphone 12 as soon as possible.
View attachment 1604256
View attachment 1604258
Hio picha nilioweka cha kwanza hicho.
1. Dark mode
2. Widgets
3. Download manager
4. Desktop browsing
5. Apple pencil
6. Display za oled
7. Edge to edge designs
8. Qi wireless charging
9. Dual ois
10. Hey siri
11. Tap to awake
12. App drawer
13. Pip mode
14. App permision
15. Default apps etc
Nikikaa nikitulia nikianzia 2007 nina uhakika wa kuandika mambo zaidi ya 100 ya hawa jamaa wanavyocopy toka waanzishwe.
Mkuu , usipoteze muda kuwajibu watu Kama Hawa . Nikionaga hivi nahisi Kama kansa ya ubongo au mtindio .Hawataki kuelewa ni isheeps hao hata apple akileta foldable phone watasema ni revolutionary acha wapigwe tu
mmarekani achana nae kabisa mura
Nani alianzisha?? Hivyo vyote??
Vingi vimetoka Maemo na Android na Oems wake.Nani alianzisha?? Hivyo vyote??
Vingi vimetoka Maemo na Android na Oems wake.
Ios imetengenezwa kabla ya Android utasemaje ni big deal kaikataa Android? Enzi hizo Karibia Kila kampuni ilikuwa na Os yake.Mkuu hapo umefeli suala la kucopy sio kwenye cm tu hadi kwenye vitu vingine kutokana na technology inavokua apple kuwa na os yake ni big deal hakutaka kuwa android huko