Samsung wasipoiga design ya iphone 12 basi apple wamepunguza wafuasi

Mzee hv ukiuza shamba utabaki kusema lako??. Na iphone 12 hajaproduce displays ask me why
Sasa kama Samsung anatengeneza display kali na kuiuzia Apple utasemaje Apple anazo display kali kushinda za Samsung. Angekuwa na display kali angenunua za Samsung ambazo ni low quality? Kwanza display gani ya iPhone inakaa mbele ya display bora zaidi ya Samsung.
 
Sasa kama Samsung anatengeneza display kali na kuiuzia Apple utasemaje Apple anazo display kali kushinda za Samsung. Angekuwa na display kali angenunua za Samsung ambazo ni low quality? Kwanza display gani ya iPhone inakaa mbele ya display bora zaidi ya Samsung.

The point ni kwamba samsung anawatengenezea apple display kali, yeye anaweka za kawaida kwenye cm yake
 
Elezea vitu anavyo copy
Hio picha nilioweka cha kwanza hicho.

1. Dark mode
2. Widgets
3. Download manager
4. Desktop browsing
5. Apple pencil
6. Display za oled
7. Edge to edge designs
8. Qi wireless charging
9. Dual ois
10. Hey siri
11. Tap to awake
12. App drawer
13. Pip mode
14. App permision
15. Default apps etc

Nikikaa nikitulia nikianzia 2007 nina uhakika wa kuandika mambo zaidi ya 100 ya hawa jamaa wanavyocopy toka waanzishwe.
 
The point ni kwamba samsung anawatengenezea apple display kali, yeye anaweka za kawaida kwenye cm yake
Hivi mkuu hata umewahi kushika side to side flagship ya samsung na Apple? Even simu za zamani kama s6 ama Note 5 zina Display kali sana kurival iphone za sasa.

Naweza kutumia s8 na Vr box 2020 nikaona movie ama 3d movies ama 360 video kwa quality nzuri tu ila display pixelated za iphone haziwezi.
 
Hzi campun hata sizielewi samsung 2018 kamuuzia iphone display apple za iphone x oled cha ajabu display za apple zilikua display kali kushinda hta hao samsung walomuuzia, sony wanatengeneza camera za iphone lakn iphone inashot picha kali kuliko hata sony. Ujue hawa jamaa hawapo serious.
Hahahah unajua kinachofanya tofauti kubwa ni software endeshi.

Apple iOS iko vizuri kwenye hardware optimization kuliko Androids na ndio maana Camera sensors zile zile za Sony zikiwekwa kwenye iPhone zinakuwa na matokeo mazuri kuliko zikiwa kwa Sony wenyewe au kwa Samsung!

Japo kwa android zinaweza kuwa optimized zaidi kukiwa na dedicated camera software mfano kwenye simu ya Huawei P20 pro waliwapiga bao jamaa wote sokoni akiwemo iPhone kwa maana Camera ilikuwa super optimised ikawa inatoa picha za ubora wa hali ya juu sana. Na hapo ndipo walipomtibua Trump yakaanza mazengwe.
 
Kuhusu display Samsung kasupply za iphone x tu.. oled sahv apple wana display zao super retina xdr
Display ni hizo hizo tu sema wana re-brand na kuweka signatures zao tu. Enhancement kidogo kisha unaipa jina. Hao Apple display zao toka awali wanaziitaga Retina displays ila sasa wame re-brand na kuita Retina XDR to push sales za iP12.

Samsung signature ni "Super Amoled" ila kimsingi ni oled display tu sema wanafanya refinements tu.

Sony nao wana signature ya "Trilluminous oled display" sema oled ya Sony iko raw! The same panels wanazotumia LG. Zenyewe haziko over saturated kama Amoled display ambayo imeongezewa vibrance effect ambayo iko kwenye simu za samsung tu. Ndio maana zina glow ya pekee compared na simu nyinginezo yani ukiangalia tu unajua hii kitu ni ya Samsung.
 
mleta uzi umepuyanga...
.
hao Apple ndo mabingwa wa kuiga miundo ya sim za wengine mfano mkubwa ni macho matatu waliiga kuoka kwa huawei mate 20 pro, ukiangalia mate 20pro imetoka 2018 afu iphone 11 imetok 2019.
.
pia kwa ishu ya tyle wa kioo waliga kwa huawei p20 bro. fanya uchunguzi kbla ya kuleta uzi...
Hiyo style ya camera ipo Motorola siku nyingi
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Apple siku zote ndiyo wamekua wakitoa muongozo wa design za smartphones zote duniani kuanzia muonekano wa kasha hadi camera na kioo.

Sasa iphone wametoa toleo jipya la iphone 12 ambalo kimuonekano ni kama limerudi kwenye iphone 5 ya boksi boksi.

Sasa apple kwa mabadiliko haya ya shepu ya iphone tunategemea wafuasi wake wote samsung, tecno, xiaomi, mi, lg etc wataiga kwa matoleo yao yajayo.

Basi kama itatokea samsung na wafuasi wenzake wa apple hawataiga muonekano mpya wa apple basi tutachukulia kuwa nguvu ya ushawishi ya apple kwa wafuasi wake imepungua sana.

Ila nna uhakika muda si mrefu tutaone wafuasi wa apple akina samsung na wenzake watakuja na matoleo yao mapya yenye muonekano wa boksi kama wa iphone 12 as soon as possible.

View attachment 1604256
View attachment 1604258

wataiga wengine lakini sio samsung.

kama unakumbuka iphone x notch imeigwa na wajinga wajinga kibao,but mkorea hapendi shobo,akaja na yake pinhole camera.
 
Hio picha nilioweka cha kwanza hicho.

1. Dark mode
2. Widgets
3. Download manager
4. Desktop browsing
5. Apple pencil
6. Display za oled
7. Edge to edge designs
8. Qi wireless charging
9. Dual ois
10. Hey siri
11. Tap to awake
12. App drawer
13. Pip mode
14. App permision
15. Default apps etc

Nikikaa nikitulia nikianzia 2007 nina uhakika wa kuandika mambo zaidi ya 100 ya hawa jamaa wanavyocopy toka waanzishwe.

Nani alianzisha?? Hivyo vyote??
 
Mkuu , usipoteze muda kuwajibu watu Kama Hawa . Nikionaga hivi nahisi Kama kansa ya ubongo au mtindio .Hawataki kuelewa ni isheeps hao hata apple akileta foldable phone watasema ni revolutionary acha wapigwe tu

Endelea kutumia android me nko ios hzo android sijawai tumia. Ila kubali kataa iphone ndo baba lao suala la kucopy hakuna campun ya sim isiyo copy technology kama huipend apple wewe tu tajir.. naisubiri 12pro hapa now.
 
Samsung bado sana.

Kipindi cha nyuma niliwaona wa maana sana il a sasa kuna chuma kinaitwa one plus.
 
Mkuu hapo umefeli suala la kucopy sio kwenye cm tu hadi kwenye vitu vingine kutokana na technology inavokua apple kuwa na os yake ni big deal hakutaka kuwa android huko
emoji28.png
Ios imetengenezwa kabla ya Android utasemaje ni big deal kaikataa Android? Enzi hizo Karibia Kila kampuni ilikuwa na Os yake.

Na hapo huja refute idea kwamba wanacopy.

Ingia website ya Ifixit kisha tafuta teardown yoyote ya iphone uone wanapotoa vifaa vyao. Hawa jamaa most of time wananunua tu vifaa kwa wengine na kupachika pamoja na kutoa simu. Wakiona tech nzuri wanacopy

Na Ole wako wagundue unacopy kitu chao, watajitutumua dunia nzima wajue.

Wameishtaki kampuni ndogo ya viungo vya kula yenye wafanyakazi watano tu kuwa logo yao inafanana na yao
1597251574-apple.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom