JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,715
- Thread starter
- #21
mleta uzi umepuyanga...
.
hao Apple ndo mabingwa wa kuiga miundo ya sim za wengine mfano mkubwa ni macho matatu waliiga kuoka kwa huawei mate 20 pro, ukiangalia mate 20pro imetoka 2018 afu iphone 11 imetok 2019.
.
pia kwa ishu ya tyle wa kioo waliga kwa huawei p20 bro. fanya uchunguzi kbla ya kuleta uzi...
Huawei ndiyo bekitatu wa samasung au lg? Simjui