JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,715
Apple siku zote ndiyo wamekua wakitoa muongozo wa design za smartphones zote duniani kuanzia muonekano wa kasha hadi camera na kioo.
Sasa iphone wametoa toleo jipya la iphone 12 ambalo kimuonekano ni kama limerudi kwenye iphone 5 ya boksi boksi.
Sasa apple kwa mabadiliko haya ya shepu ya iphone tunategemea wafuasi wake wote samsung, tecno, xiaomi, mi, lg etc wataiga kwa matoleo yao yajayo.
Basi kama itatokea samsung na wafuasi wenzake wa apple hawataiga muonekano mpya wa apple basi tutachukulia kuwa nguvu ya ushawishi ya apple kwa wafuasi wake imepungua sana.
Ila nna uhakika muda si mrefu tutaone wafuasi wa apple akina samsung na wenzake watakuja na matoleo yao mapya yenye muonekano wa boksi kama wa iphone 12 as soon as possible.
Sasa iphone wametoa toleo jipya la iphone 12 ambalo kimuonekano ni kama limerudi kwenye iphone 5 ya boksi boksi.
Sasa apple kwa mabadiliko haya ya shepu ya iphone tunategemea wafuasi wake wote samsung, tecno, xiaomi, mi, lg etc wataiga kwa matoleo yao yajayo.
Basi kama itatokea samsung na wafuasi wenzake wa apple hawataiga muonekano mpya wa apple basi tutachukulia kuwa nguvu ya ushawishi ya apple kwa wafuasi wake imepungua sana.
Ila nna uhakika muda si mrefu tutaone wafuasi wa apple akina samsung na wenzake watakuja na matoleo yao mapya yenye muonekano wa boksi kama wa iphone 12 as soon as possible.