fisadimpya
Senior Member
- Oct 27, 2011
- 191
- 103
Hawa jamaa washaona Africa tunabebwa tu na upepo pale A02 inapokua bora kuliko A10
Mkuu unapewa unachokifikiaHawa jamaa washaona Africa tunabebwa tu na upepo pale A02 inapokua bora kuliko A10
pale A02 inapokua bora kuliko A10
mweh..Nyie ndio mnaikimbilia(ga) kununua brand badala ya kuangalia good specifications...
Ni bora kununua tecno ya laki 5 kuliko samsung ya laki 5.
Unforgettable
Unaota weweNyie ndio mnaikimbilia(ga) kununua brand badala ya kuangalia good specifications...
Ni bora kununua tecno ya laki 5 kuliko samsung ya laki 5.
Unforgettable
Hawa jamaa washaona Africa tunabebwa tu na upepo pale A02 inapokua bora kuliko A10
Vyema ungeitaja hio Tecno na Samsung. Ila kwa experience Yangu simu za Tecno zipo overpriced sana, kushinda hata Samsung huku ukipata hardware za quality ndogo. Mara mia useme hata Xiaomi.Nyie ndio mnaikimbilia(ga) kununua brand badala ya kuangalia good specifications...
Ni bora kununua tecno ya laki 5 kuliko samsung ya laki 5.
Unforgettable
Hivi galaxy A52s 5G inauzwa bei gani naona inasifiwa sana kwenye mitandao.A02 imetoka na A12
A01 imetoka na A11
A2 core imetoka na A10.
Hivyo si jambo la ajabu kwa simu ndogo ya mwaka huu kupita kubwa kidogo ya miaka 2 iliopita.
Galaxy A52s ni nzuri kuliko Galaxy S10, je wa S10 nao waliibiwa?
Kitu kizuri kwenye A52s ni soc yake Snapdragon 778G, hii japo ni processor ya Midrange ila ni nzuri kushinda Highend kama snapdragon 835, 845, 855 etc.Hivi galaxy A52s 5G inauzwa bei gani naona inasifiwa sana kwenye mitandao.