vannistelrooy
JF-Expert Member
- Jan 31, 2017
- 318
- 657
Ni dhambi kubwa sana kufananisha samsung na vitu vya kijinga...Tecno fananisha na sufuria
Sijaangalia kwenye screenshot uliyoweka, hiyo screenshot haina maandishi yanayosema helio X10.Umeangalia wapi/sehemu gani kwenye hiyo screenshoot?
Asante mkuu!Sijaangalia kwenye screenshot uliyoweka, hiyo screenshot haina maandishi yanayosema helio X10.
Nimeangalia google, screenshot yako inasema mediatek mt6753, kwa hiyo nikaenda google nikatafuta "mt6753 helio", page results zote zikanipa jibu la helio X10.
Na pia mkuu waweke aina za processor na version zake hapa!🙂Mnaleta mahaba badala ya ushaid mfano storage, ram , processor
.
iphone iphone ni nouma
To a HTC hapo unatukanamkuu nimegundua kuwa humu ndani kuna wengi ambao wameanza kutumia hizi smart hapa karibuni ndio maana wanasifia samsung wakihisi ndio simu pekee
hivi kwenye hizi android kuna wenye simu za ukweli kama sony,htc na lg naona wengi wanafuata jina la samsung bila kujua na ubora wa simu nyingine
tafuta HTC u11,u12 na u12 plus alafu uje ubishe.To a HTC hapo unatukana
Unasema?Nafkiri tecno phantom 6 plus ipo juu!! Tokea nianze kuitumia kila kitu raha raha tu!! Samsung amekuwa nyuma sana kw sasa
Kweli kabisa ukitumia utamani kurudi nyuma wala ushawishiki kubadilisha ndo mana watu wanakaanazo hata miaka mi 5 anabadili battery tu ila kazi inapiga freshAcheni kufananisha SAMSUNG na vitu vya kijinga
SAMSUNG MASHINE MZEEEKweli kabisa ukitumia utamani kurudi nyuma wala ushawishiki kubadilisha ndo mana watu wanakaanazo hata miaka mi 5 anabadili battery tu ila kazi inapiga fresh
kabisa, kinyume na hapo una mawasiliano sio simu.Simu ni Samsung na iPhone tu
iPhone X je?yaan mkitumia iPhone 6s hamtobishana tena maana ndio simu bora kila idara...respect to team iPhone woteee
iPhone X je?yaan mkitumia iPhone 6s hamtobishana tena maana ndio simu bora kila idara...respect to team iPhone woteee