Samsung VS Other Android

Samsung VS Other Android

Graphics za simu Kwanza
Ram...
Internal Storage
Processor

Camera Siangaliii
Ukiongelea graphics unaongelea GPU
Gpu ya Z5 ni adreno 430

Gpu ya a5 ni adreno 405

Huoni hata graphics a5 imesha pitwa?

Na hapa siongelei sony tu naongelea hadi manufacturers wengine...kuna G4 ,g5,kuna v10 kuna v20 kuna g6 inamaana hizi zote zimepitwa na a5? Au huzifaham simu
 
Simu za TECNO za android zinaonekana mbaya kwa sababu ya mediatek versions wanazotumia, mediatek versions nzuri ni helio P10, helio P15, helio P20, helio P25, helio X20, helio X23, helio X25, helio X27 na helio X30. Simu ikiwa na mediatek tofauti na hizo hapo juu, hiyo simu itakuwa mbaya, ikiwa na mediatek za hapo juu, hiyo simu ni nzuri sana. Mpaka sasa simu nzuri za TECNO ni mbili tu, Phantom 6 na Phantom 6 Plus, ni nzuri kwa sababu zina mediatek za helio X10 na helio X20 respectively.
Ukitaka simu nzuri ya bei rahisi ya mediatek, hakikisha ina mediatek ya helio P10 au helio P15 au helio P20 au helio P25 au helio X10 au helio X20 au helio X23 au helio X25 au helio X27 au helio X30. Tofauti na hapo hilo simu litakuwa baya tu.
 
Ukiongelea graphics unaongelea GPU
Gpu ya Z5 ni adreno 430

Gpu ya a5 ni adreno 405

Huoni hata graphics a5 imesha pitwa?

Na hapa siongelei sony tu naongelea hadi manufacturers wengine...kuna G4 ,g5,kuna v10 kuna v20 kuna g6 inamaana hizi zote zimepitwa na a5? Au huzifaham simu
Compare samsung s7 edge na song z5...
Izo ndo ziko level moja
 
Simu za TECNO za android zinaonekana mbaya kwa sababu ya mediatek versions wanazotumia, mediatek versions nzuri ni helio P10, helio P15, helio P20, helio P25, helio X20, helio X23, helio X25, helio X27 na helio X30. Simu ikiwa na mediatek tofauti na hizo hapo juu, hiyo simu itakuwa mbaya, ikiwa na mediatek za hapo juu, hiyo simu ni nzuri sana. Mpaka sasa simu nzuri za TECNO ni mbili tu, Phantom 6 na Phantom 6 Plus, ni nzuri kwa sababu zina mediatek za helio X10 na helio X20 respectively.
Ukitaka simu nzuri ya bei rahisi ya mediatek, hakikisha ina mediatek ya helio P10 au helio P15 au helio P20 au helio P25 au helio X10 au helio X20 au helio X23 au helio X25 au helio X27 au helio X30. Tofauti na hapo hilo simu litakuwa baya tu.
Phantom 6 na 6plus ziko vizur kwel...compared to other tecno phone
 
Nafkiri tecno phantom 6 plus ipo juu!! Tokea nianze kuitumia kila kitu raha raha tu!! Samsung amekuwa nyuma sana kw sasa
Samsung usiifananishe na Tecno, Samsung ni world wide inauzwa dunia nzima, Tecno ni Africa tuu... Samsung level zake ifananishe na iPhone, Google Pixel au LG

Tecno kwa samsung iko mbal sana

Hiyo phantom 6 imeachwa mbali sana hata na Samsung S6 kwakila kitu na ndio maana S6 bei mbaya .. na bado kuna mzigo wa samsung S8 umekuja kufunga kazi na bei yake imechangamka sana sio ya kitoto
 
Nimetumia Sony Xperia.... Ni Bei Ghali Lakin Hakuna Kitu

Mkuu Nenda Angalia A5 Ya Samsung Fananisha Na Android Zote Umetumia...Rudi Unipe Jibu

Labda Tunatofautia lakin Graphics Za Samsung Sahivi Zipo Level Moja Na Apple

Nilitumia LG G2 mpaka sasa sijaona simu bora kama ile,kuanzia battery,performance yake. Kwa upande wa android LG wako vizuri zaidi ya Samsung
 
Samsung usiifananishe na Tecno, Samsung ni world wide inauzwa dunia nzima, Tecno ni Africa tuu... Samsung level zake ifananishe na iPhone, Google Pixel au LG

Tecno kwa samsung iko mbal sana

Hiyo phantom 6 imeachwa mbali sana hata na Samsung S6 kwakila kitu na ndio maana S6 bei mbaya .. na bado kuna mzigo wa samsung S8 umekuja kufunga kazi na bei yake imechangamka sana sio ya kitoto
Kabisaa...Samsung ni balaaa
Asante
 
Najua toleo za Samsung...am big fan

So Sijakuwa nikifuatilia Sony,Htc, etc

Samsung na iphone tu...

Wacha niziangalie
Sasa uliwezaje kusema a3,j5 na note 3 na kuendelea zinazid other android phones ilihali hizo other Android huzifaham? Hilo ndio kosa lako...

Kaangalie lg g4
Lg g5
Lg v10
Lg v20
Lg g6

Kaangalie one plus 2
One plus 3
One plus 3T

Pia angalia vizur google pixels XL

Kuna huawei nexus 6p

Htc m10

Anza kuzipitia hizo chache ndio utajua kuna simu kari zaid ya hizo ulizotaja wewe..
All in all Samsung anafanya vizur na hii ni kutokana ana watu pia wanao mpa challenge..kuwepo kwa simu kari kwa manufacturer wengine ndio nayeye anatoa simu kari...kikubwa hapa ni kutaka kukujulisha kwamba zipo simu nzuri nyingi tu kuliko ulivyodhani wewe.
 
Nilikuwa Mpenzi Wa Tecno Sana Kuanzia 2015 Wakati Walianza Kubadilika

Nilianza Kutumia Alcatel One Touch 360
Nikauza Nikanunua Tecno M3 Ambayo Nilikaa Nayo Sana Adi Nikanunua Boom J8

Tecno Wamekuwa Wakibadilika Sana...But Ivi Sasa Naona Wakibadilisha Camera Tu Na Capacity

Samsung Kusema kweli ni zaidi ya other androids phone
Nazungumzia in terms of graphics na uwezo wa simu zenyewe

Mfano samsung note 3, A3 na J5 Kwenda Juu...Huwezi Fananisha Izi Simu na Other Android

Personally Naona Samsung Wameanza Kuipiku iPhone Sanaa

They Are Ever Changing

Regards
Nilisema zamani kwa wale waliokuwa wakisifia Tecno, huwezi kujua ubaya waTecno hadi utakapo icha na kuanza kutumia aina nyengine ya simu.Hapo ndio utagundua ulikuwa unateseka.
 
Mnabishania cm mnahisa kwenye makampuni hayo ya cm?!!! By the way kila cm imetengenezwa kulingana na mahitaji ya watumiaji na uwezo wao kifedha (purchasing power). So tusipotezeane muda hapa. Unamiliki CM ya 2m huku unaishi kwa babako?!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom