Weka picha mkuu pia 100k kwa hizo sifa ndo saizi yakoNauza simu ya Samsung s6 edge+ lakini imepasuka kioo inanunua unaenda kuweka kioo iko bomba mambo mengine yote
Tupia pichaNauza simu ya Samsung s6 edge+ lakini imepasuka kioo inanunua unaenda kuweka kioo iko bomba mambo mengine yote
Ikiwezekana unipe na no yako mkuu
Unataka bei gani hii sim![]()
Simu yenyewe ndo hii apa ilianguka ikapasuka kioo chote
Achana na vimeo njoo nikupe S8 nzimaaaaUnataka bei gani hii sim
Ova
Duh tajiri kwema!Achana na vimeo njoo nikupe S8 nzimaaaa
Ni zaidi ya hyo.... ts about 450K.... but ni simu nzuri mno so hutojutiaKioo chake tu icho 300k
800 mkuu kitu bado kipyaaDuh tajiri kwema!
Bei inakwendaje hyo s8
Ova
Nrushie picha kwenye whTsap yangu si unayo800 mkuu kitu bado kipyaa