Samsung s22 Ultra vs iPhone 14 Pro Max

Samsung s22 Ultra vs iPhone 14 Pro Max

Chukua iPhone 14 Pro Max.
*Hapo iPhone 14 Pro Max inatoa picha nzuri, inarekodi video nzuri, software yake inakuwa supported muda mrefu zaidi kuliko ya Samsung, inatunza chaji kwa 39% zaidi ya S22 Ultra, inatumia Bluetooth version mpya zaidi (v5.3), na bado ina performance kubwa zaidi ya hiyo Samsung, display yake inafikia peak brigtness ya 1748nits ambayo ni 39% kuliko ya Samsung ambayo ni 1254nits n.k

iPhone 14 Pro Max inashindanishwa na Samsung Galaxy S23 Ultra na sio S22 Ultra.

Kweli hapo ndio vita yake itakuwa inatisha japo
Apple na hizi features kama satellite emergency,crash detection ambazo makampuni mengine hayajawa na ubunifu kufikia innovation hii
Na pia dynamics island ya iphone 15 pro max itakuwa na maboresho ya hali ya juu zaidi
 
iOS wakitoa restrictions kama EU wanavyotaka hizi simu nitaanza kuzipenda tena.
Kwa sasa restrictions zao sizipendi. Natamani hiyo iOS itolewe restrictions

Ila sumsung ultra 23 customization yake inatisha sana shida yake android version updates zinachelewa sana tofauti na apple wana beta program
 
Juzi iphone wametoa ios mpy 16.4 chaajabu na cha kushangaza vitu vipya walivyoweka vinapatikana kwenye android kit kat uko ambayo ilitoka miaka zaid ya 5 nyuma...
.
So far ubora wa iphone unabebwa na jin lake na kuwa ni bidhaa ya mmarekani ila kiukwel iphone ni simu ya kawaida hakun kitu ambacho kipo kweny iphone hakipo kweny samsung

Itategemena na taste yako kwenye simu. Mimi natumia brand zote na kila brand ina advantage na disadvantage
 
acha tu Mkuu yaani apple sikuhizi wakitoa update Mpya ukiangalia unaona ni kama hamna kitu kipya walichoongeza. Kwenye 16.4 una update ili kupata emoji za farcis kweli 😀😀. Sina uzoefu sana na samsung ila kwaupande wa apple wanajitahidi sana kwenye upande wa hardware na durability ya device.

Umesahau noise cancellation
 
Well its bot the first time apple wamepelekana mahakamani na serikali concerning privacy, dont know how it will turn out but somehow apple hawato risk their selling point

Inasemakana wanaweka kutumia type C lakini itakuwa imelimitiwa kabisa kwa chip ya ndani na sio software kwa hiyo ni kuchaji tu
 
Well its bot the first time apple wamepelekana mahakamani na serikali concerning privacy, dont know how it will turn out but somehow apple hawato risk their selling point
Anyway, one day I will try them hata kama zitaendelea kuwa na restrictions

Kama Apple atajaribu kufungua kesi mahakamani basi natamani ashindwe ili hizo restrictions zitolewe hata kama ni kwa EU version pekee, tutazitafuta hizohizo.
 
So far ubora wa iphone unabebwa na jin lake na kuwa ni bidhaa ya mmarekani ila kiukwel iphone ni simu ya kawaida hakun kitu ambacho kipo kweny iphone hakipo kweny samsung
Nakazia! Huo ndio ukweli.
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Nimewahi kuuliza swali hili, ni vena uwe unasearch keyword kwanza ili ujue kama Kuna mjadala ushawahi tokea ili kama hakuna ndouuliza na kama upo usome komenti. Anyway ngoja aje Reuben Challe akujibu japo wengi wanamwona chifu mkwawa ndo.expert ila mm ni Reuben
Hatushindanishi watu hapa mkuu, hukua na sababu yoyote ya kuwataja hao watu.😡😡😡😡
 
Back
Top Bottom