Wanithekija vavaHata uparen siku iz kuna kiwanda cha Samsung usishange ukikutana na "Made of Uparen"
So far duniani hatuna simu original inayoitwa samsung galaxy A74, samsung walisha declare kufika ukomo wa kuzalisha A7x series, ambapo galaxy A73 ndiyo lilikuwa toleo la mwisho.
acha kukariri mkuu zipo samsung nyingi zimetengenezwa Vietnam tena ni original asikwambie mtu ila suala la copy ni popote pale maana hata huyo mkorea anaweza kutengeneza copylazima itakuwa ni copy tu, sumsung ni za Korea kusini, huko ndio hutoka original.na ndio wamiliki.
pole mkuu ila ahsante kwa kuleta ushahidi humuYangu imeandikwa DESIGNED AND ENGINEERED BY SAMSUNG MANAFACTURED IN VIETNAM katika utafiti wangu wa kina nikabaini ni simu original mwaka wa nne sasa ninayo niliwahi tu kuitumbukiza kwenye maji kioo kikafa nikashindwa kupata original nikaweka feki na ndio kinanitesa sasa
pole mkuu ila ahsante kwa kuleta ushahidi humuYangu imeandikwa DESIGNED AND ENGINEERED BY SAMSUNG MANAFACTURED IN VIETNAM katika utafiti wangu wa kina nikabaini ni simu original mwaka wa nne sasa ninayo niliwahi tu kuitumbukiza kwenye maji kioo kikafa nikashindwa kupata original nikaweka feki na ndio kinanitesa sasa
Na inashare kioo na samsung za kawaida za uk or us?Yangu imeandikwa DESIGNED AND ENGINEERED BY SAMSUNG MANAFACTURED IN VIETNAM katika utafiti wangu wa kina nikabaini ni simu original mwaka wa nne sasa ninayo niliwahi tu kuitumbukiza kwenye maji kioo kikafa nikashindwa kupata original nikaweka feki na ndio kinanitesa sasa
Ntajuaje hilo jamaa yangu sijawahi kutestNa inashare kioo na samsung za kawaida za uk or us?
Kitu samsung made in usangi au gonja😂😂😂Hata uparen siku iz kuna kiwanda cha Samsung usishange ukikutana na "Made of Uparen"