lazima itakuwa ni copy tu, sumsung ni za Korea kusini, huko ndio hutoka original.na ndio wamiliki.Nimepita pita madukani kuuliza Samsung nakutana na Samsung made in Vietnam jee hizi ni Samsung original au ni Copy?
Maana kwa mawazo yangu Samsung zinatoka Korea
😀 mkuu mimi nilinunua samsung galaxy nje ya africa nje ya asia tena kwa samsung dealer ilikua made in vietnamCopy izo mkuu tena ni from dubai hapo wameweka vietnam ili wakuchanganye
🤣Kumbe😀 mkuu mimi nilinunua samsung galaxy nje ya africa nje ya asia tena kwa samsung dealer ilikua made in vietnam
Huo ni urembo tu bhana! Hizo simu zinatambuulika kabisa zinazitengenezwa vetnam na india.sio viwanda feki vina sifa.Haijaandikwa using south korea's technology?? Kwasababu unaweza kuta hiyo ni assembly point tu lakn wahusika ni hao hao wakorea wa kusini
Zipo samsung za vietnam na india pia si utest kwa zile test za kujua if ni samsung origional? (hapa JF zishajadiliwa sana) ni maduka ya Dar au mkoani?Nimepita pita madukani kuuliza Samsung nakutana na Samsung made in Vietnam jee hizi ni Samsung original au ni Copy?
Maana kwa mawazo yangu Samsung zinatoka Korea
Inafanya kazi vizuri au magumashi....na una mda ganii tangu uinunue😀 mkuu mimi nilinunua samsung galaxy nje ya africa nje ya asia tena kwa samsung dealer ilikua made in vietnam
Samsung za vietnam ni og mkuu,ndio maana soko lake lipo mpaka ulayaInafanya kazi vizuri au magumashi....na una mda ganii tangu uinunue