Samsung J3

Samsung J3

Nooo zipo nyingi sema hizi nilizidownload recently kabla ya tatizo halijaanza je nifute zote au
moja ndio ina tatizo mkuu, kabla ya kufuta zote inabidi hio moja uijue, sometime inakuwa haina jina, hakuna app ambayo haina jina? unaona tu blank ukiscroll.

app za developer maarufu kama hizo wechat hazina tabu, app ambazo sio maarufu ziangalie zaidi hizo
 
Yaani speaker yake ipo upande upi?
speaker ipo pembeni ya camera, upande mmoja ni flash na mwengine ni speaker
sams-j5-6.jpg
 
speaker ipo pembeni ya camera, upande mmoja ni flash na mwengine ni speaker
sams-j5-6.jpg
Nimeiona nilikuwa ninunue mda huu ila nimeangalia videos tena naona haina magnetic sensor which means no compass nawakati niliyonayo nilitaka kuikibia kwasababu hiyo hiyo
 
Nimeiona nilikuwa ninunue mda huu ila nimeangalia videos tena naona haina magnetic sensor which means no compass nawakati niliyonayo nilitaka kuikibia kwasababu hiyo hiyo
mkuu seems una mambo mengi unayohitaji kwenye simu, ungeyataja yote ingekuwa vizuri ili kupata kifaa kizuri.

nimecheki simu za around bei hio naona galaxy A3 inayo, zote original na ya 2016 sema mi sikubaliani na battery ya original, japo sio mbaya kivile.

pia umeshafikiria simu second hand? kwa budget hio unapata galaxy s5.

baadhi ya simu brand nyengine zenye compass bei hio ni huawei p8 lite, xiaomi redmi 3, moto g series
 
mkuu seems una mambo mengi unayohitaji kwenye simu, ungeyataja yote ingekuwa vizuri ili kupata kifaa kizuri.

nimecheki simu za around bei hio naona galaxy A3 inayo, zote original na ya 2016 sema mi sikubaliani na battery ya original, japo sio mbaya kivile.

pia umeshafikiria simu second hand? kwa budget hio unapata galaxy s5.

baadhi ya simu brand nyengine zenye compass bei hio ni huawei p8 lite, xiaomi redmi 3, moto g series
Asante bruh nimekuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom