HMJ
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 157
- 20
Habari zenu wakuu...
Kama heading inavyosomeka hapo juu, simu yangu ina matatizo yafuatayo, huwa inajiwasha data yenyewe, inaleta matangazo mara kwa mara tena sometimes yanakuja ya ngono pia huwa inanileta ujumbe unfortunately stop..
Tatizo litakua nini? msaada wenu wa kilataalam unaitajika..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama heading inavyosomeka hapo juu, simu yangu ina matatizo yafuatayo, huwa inajiwasha data yenyewe, inaleta matangazo mara kwa mara tena sometimes yanakuja ya ngono pia huwa inanileta ujumbe unfortunately stop..
Tatizo litakua nini? msaada wenu wa kilataalam unaitajika..
Sent using Jamii Forums mobile app