Samsung galaxy note II

Samsung galaxy note II

Godee jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,906
Reaction score
2,699
Nimeuziwa hii simu ila ilikua Note For Sale kwa maana ya kuwa ilikuja kama sample. Sasa sehemu ya kuweka sim card imefungwa na pia tundu la line ni dogo sana. Wataalam naomba maujanja yenu tafadhali
 
kama tundu la line ni dogo unatakiwa ukaikate line ili iingie. nenda maduka ya simu watakukatia.

sim_cards.jpg
 
Sawa ndugu acha nijaribu kufanya hivyo
 
Hata maagent wanazo sim card ndogo kama hutaki kukata.
 
Nenda mlimani City kwenye duka la Tigo, watakukatia hiyo sim card yako!!
 
Nimeuziwa hii simu ila ilikua Note For Sale kwa maana ya kuwa ilikuja kama sample. Sasa sehemu ya kuweka sim card imefungwa na pia tundu la line ni dogo sana. Wataalam naomba maujanja yenu tafadhali

Jamani hivi mtu kama hujui kiingereza kwanini ujifanye unajua? Hebu angalia hapo juu penye rangi nyekundu..! Una maanisha nini?
 
Jamani hivi mtu kama hujui kiingereza kwanini ujifanye unajua? Hebu angalia hapo juu penye rangi nyekundu..! Una maanisha nini?

hahaha mkuu unamtoa mwenzako confidence mi nimeelewa hivi

-note ni simu samsung galaxy note
-for sale kwamba ilikua inauzwa kwa punguzo.

nafkiri yupo sawa
 
Nilimaanisha Not for sale wakuu. samahani lakini
 
Mkuu Juakali naomba unielekeze kwa agent mmoja wapo ili nisizunguke sana. Samahani lakini
yangu nilipata manzese kwa wakala wa TIGO, kabla ya daraja ukitokea mjini.
 
Kwa nini usinunue SIM CARD cutter ukachangisha vipesa vidogovidogo

Sim-Card-Cutter.jpg
 
mie ilivyogoma laini kuingia nikajua changa la macho nikaitupia stoo watoto wachezee kumbe usiolijua ni sawa na usiku wa bila mbalamwezi
 
Nashukuru wakuu nimefanikiwa kutatua tatizo. Ngoja nianze kulipa kodi ya buku kila mwezi
 
Back
Top Bottom