SAMSUNG galaxy A36

SAMSUNG galaxy A36

KWA AJILI YA KUPIGA TU NA KUPOKEA HIYO HAPANA, MCHUKULIE HATA S23 ultra BIMKUBWA ACHA UBAHILI.
 
Sasa mzee, kama ishu n kupiga na kupokea simu Kwann ununue hy simu tena kwa mtu mwenye miaka 60+ au unataka awe anaji snap?
 
Wadau naombeni kuuliza ubora wa Samsung Galaxy A36 ninataka nimununulie Bi Mkubwa simu kwake kwa ajili ya kupiga na kupokea simu she is around 60’s

Kingine Price yake inaweza kuwa shilingi ngapi? Kwa maduka ya Tanzania? Na Ni maduka gani highly recommend? Kwa sababu binafsi Samsung Sijawahi kutumia nisije nikanunua Famba.

Samasung Huwa wana verify vipi? Kama ni original au siyo?

C.c Msaada kwa wanaojua Chief- mkwawa
Samsung unadumbukiza IMEI hapa

Hakikisha unafanya hiyo KAZI kabla hujanunua, inaweza kuwa Samsung OG Ila haijatengenezwa kwa ajili ya kuuzwa Africa ukinunua utapoteza warranty nzuri inayohusisha Hadi kutengeneza kioo akipasua.

Bei ya A36 ni roughly around laki 7 inaweza shuka ama kupanda kidogo.
 
Kwa comments za humu nimeamini kweli wengi wa wana JF ni choka mbaya, wana stress za maisha, eeh Mungu ahsante kwa hiki kidogo ulichonijaalia🤲🙏
 
Mrejesho nimenunua hii simu ila sidhani kama ana fell kama mimi ninvyo feel Samsung wana Safari ndefu sana sijaona utofauti mkubwa na akina Infinix ngoja nijipange nimchukulie iPhone tuu
 
Back
Top Bottom