Samsung flat screen HDTV led series 4 kushindwa kusoma external hdd

ibradebo

JF-Expert Member
May 8, 2015
302
177
Inashindwa kusoma external HDD umeme unaofika kwenye external HDD ni Mdogo ambao unashindwa kufungua external HDD inawasha taa na kuzima nahisi kama umeme unaofika kwenye external HDD ni mdogo. Je nawezaje kutatua hili tatizo?
 
1. hio HDD haina sehemu ya kuchomeka usb cable kwa ajili ya kuingizia umeme?
2. umeiformat kwa format gani hio HDD? maana tv haiwezi soma format zote
 
hii ni external hdd ya kawaida tatizo hata pop up haitokei kwenye screen
 
1. hio HDD haina sehemu ya kuchomeka usb cable kwa ajili ya kuingizia umeme?
2. umeiformat kwa format gani hio HDD? maana tv haiwezi soma format zote
Inatumia adopter je inaweza ikawa sababu ya kupeleka umeme. Mdogo kwenye HDD?
 
Inatumia adopter je inaweza ikawa sababu ya kupeleka umeme. Mdogo kwenye HDD?
una simu ya android? nenda store halafu download app ya ampere halafu charge simu na tv kisha fungua hio app nisomee ampere na voltage ili tujue kama ni kweli hio tv inatoa umeme mdogo
 
hii ni external hdd ya kawaida tatizo hata pop up haitokei kwenye screen

kwani hiyo HDD yako ina ukubwa gani,kwani screen zina limits za kusupport ukubwa wa Hdd kama ni Terabite kadhaa inaweza kua ndio source

Jaribu HDD yenye capacity ndogo uone
 
hii ni external hdd ya kawaida tatizo hata pop up haitokei kwenye screen
jaribu kubadili HDD.kuna kipindi nilinunua external kwenye laptop inafanya kaz ila kwenye tv ikawa haonekan kama ulivyosema nikajaribu nyingine ikakubali.
 
Mkuu Chief-Mkwawa mimi nina External Hard disk mbili.
Moja inaukubwa wa 320GB Toshiba na nyingine ni
Toshiba yenye ukubwa wa 1Terabytes. Zote hizi nikijaribu
kwenye king'amuzi cha Azam Tv hazisomi. tatizo nini au
nifanye kitu gani ili zisome kwenye hicho king'amuzi?
1. hio HDD haina sehemu ya kuchomeka usb cable kwa ajili ya kuingizia umeme?
2. umeiformat kwa format gani hio HDD? maana tv haiwezi soma format zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom