Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Mafundi wa mambo kati ya samsung A51 na oppo reno Z ipi ni kali, nimepitia online naona oppo kama vile wanambeba hivi??
Hii ni bei gani mkubwaKama una bajeti nzuri kwa nini usichukue redmi note 10 pro?
Ali express ni tsh 650,000/=Hii ni bei gani mkubwa
Hakuna gharama za nyongeza ukinunua kupitia Aliexpress???aliexpress ni tsh 650,000/=
Pesa kusafirishia simu kama 15,000Hakuna gharama za nyongeza ukinunua kupitia Aliexpress???
M51 ina uwezo mkubwa kuliko a51.Nimenunua samsung M51 tofauti yake ni ipi na hii samsung A51
Wamefungua ofisi nadhani last week nimeona taarifa yaoMkuu achana na hiyo A51 ni ya kawaida sana afu bei kubwa. Endelea kufanya utafiti ila kuna mdau kashauri hapo juu nami naungana naye kwa Xiaomi Redmi Note 10 Pro. Ingia google gsmarena uione.
Naskia Xiaomi wamefungua ofisi hapa Tz tayari.
Hapo kuna mtu na mdai hela yangu kwa sasa yeye hana hiyo hela hvyo amesema nichukue simu moja kati ya hzo maana zipo dukani kwake broOppo Reno Z.
Kioo chake ni amoled na ina HDR10 ubora wa picha ni mkubwa kuliko samsung A51.
Kwenye screen protection, oppo inatumia kioo cha gorilla 5 wakati a51 ni g3. g5 ni kigumu kupasuka kama simu ikianguka kwa urefu wa 1.2m kulinganisha na g3.
Kiuwezo, reno z inatumia mediatek helio p90 ambayo ina score nzuri kulinganisha exynos 9611 iliyopo kwenye a51
geekbench 5.1 p90 : single core 408
geekbench 5.1 exynos 9611: single core 347
Reno z inaweza kujaza betri kwa muda mfupi kwa sababu ina fast charge ya 20W na betri ya ukubwa wa 4035mAh
Samsung a51 charge yake ni 15W na betri ya ukubwa wa 4000mAh, hii kujaa itachelewa.
Vitu vingine viko sawa kwa kiasi kikubwa
Samsung Galaxy A51 - Full phone specifications
www.gsmarena.comProcessor Comparison - Head 2 Head
Samsung Exynos 9611 vs Qualcomm Snapdragon 730 - Benchmarks, Tests and Comparisonswww.notebookcheck.netOppo Reno Z - Full phone specifications
www.gsmarena.comMediatek Helio P90 Processor - Benchmarks and Specs
Benchmarks, information, and specifications for the Mediatek Helio P90www.notebookcheck.net
Kama una bajeti nzuri kwa nini usichukue redmi note 10 pro?
Nipe page yao kwa bongo si unajua matapeli wengiWamefungua ofisi nadhani last week nimeona taarifa yao
Hii A52 na xiamoni 10 pro ipi mashine ya kaziPia A52 ni much better Kwa muono wangu, well rounded device around laki 7 hapa TZ.
Tusaidie page zao au namba zaoMkuu achana na hiyo A51 ni ya kawaida sana afu bei kubwa. Endelea kufanya utafiti ila kuna mdau kashauri hapo juu nami naungana naye kwa Xiaomi Redmi Note 10 Pro. Ingia google gsmarena uione.
Naskia Xiaomi wamefungua ofisi hapa Tz tayari.
a52 ni nzuri zaidiHii A52 na xiamoni 10 pro ipi mashine ya kazi