EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Kwanini ameondolewa? Maswali mengine bwana kwani alikuwa mhasibu wa maisha.Kwani Mwigamba kaondolewa Uhasibu Chamani?
Kwanini ameondolewa? Maswali mengine bwana kwani alikuwa mhasibu wa maisha.Kwani Mwigamba kaondolewa Uhasibu Chamani?
Lia na baba yako aliyekuwa anamalizia school fees yako kwenye kimpumu.tanzania daima ni gazeti la mbowe siyo la chadema.wala msilete unazi mkawa mnatafuna maneno.issue hapo ni urais wa 2015.mbowe ameanza kujipigia debe kupitia gazeti lake.mtayaona mengi hizi ni rasharasha.unfanya mchezo na wachaga wanavyo itaka nchi kwa nguvu zote ili wafanye ufisadi.wachaga ona tra watupu wanakula rushwa tu.nani humu jamvini atabisha kama tra hawali rushwa.
hii thread ina uhusiano wowote na TUNTEMEKE au na MZITO KABWELA?
jana nimesoma kwa makini sana makala ya samson mwigamba kwenye tanzania daima na nikashangaa sana. Nimemtumia ujumbe kumuuliza alikuwa na maana gani lakini mpaka sasa hajanijibu. Hili ndilo nililoligundua katika makala aliyoipa kichwa "arumeru mashariki ilikuwa kama operation ya kijeshi"
ameelezea mambo mengi na kuwashukuru watu wengi sana waliofanya kazi ya ukombozi arumeru, ameanzia kwa mh mbowe, mameneja wa kampeni mchungaji natse na v nyerere, mkuu wa operation john mrema, katibu wa cdm wa mkoa, viongozi wa bavicha na wengine wengi. Lakini jambo la ajabu ni kuwa hakuna hata mahali ambapo alimtaja dr slaa. Sasa mimi nimejiuliza inawezekanaje mwigamba asimuone dr slaa kwenye kampeni? Vyombo vya habari vilituambia kuwa dr slaa alipokewa kifalme arumeru, tulimuona na kumsikia kwenye majukwaa akimnadi joshua, ni yeye aliyekashifiwa kuiba pesa za ujio wa papa, ni yeye alitukanwa matusi mazito na ndugu lusinde. Sasa inawezekanaje mwigamba asimtaje katika shukrani zake? Huu ndio ukamamnda gani, hata kama kuna sintofahamu baina yao kwa nini analionyesha hadharani hivyo? Nilitamani niwawekee vipande vya shukrani zake lakini tanzania daima online haikuiweka hiyo makala, sijui ni bahati mbaya ama wameistukia kama mimi nilivyofanya?
Makamanda tuache unafiki, hata kama mtu ameondolewa kuwa mhasibu wa chama sio sababu ya kuweka kinyongo, tujue tu kuwa cheo ni dhamana na si haki ya mtu. Ukombozi utaletwa na watu makini wenye nia ya dhati na wasio na agenda ya siri nyuma yao. Hoja zote ni lazima ziwekwe mezani, zijadiliwe kisha tusonge mbele kwenye mapambano.
Samson angalia sana usije ukajiweka upande mbaya wa historia ya taifa letu. Katika ujumbe wangu wa jana nilitoa wito kwako uombe radhi wasomaji wako na wana cdm popote pale walipo kwa kosa hilo. Inawezekana ulipitiwa tu na hukudhamiria, kama hivyo ndivyo basi nami utanisamehe.
Saa ya ukombozi imefika
you are right mkuu hilo lazima viongozi wetu walifanyie kazi la sivyo tutajaza mamluki ambao watakuja kutuletea shida huko mbele.[/QU
Si rahisi namna hiyo, mimi naamini chama chochote kitakachofaulu kukamata dola baada ya CCM kupigwa kumbo kitafanya vizuri zaidi ya hii CCM, iwe CHADEMA au chama chochote kwani CCM ya sasa imejisahau kiasi cha kutomwogopa Mungu wala shetani na wanadhani wao ndiyo wenye hati miliki ya utawala na kamwe hawaondosheki! sasa ikitokea chama kingine kikafaulu kuwashawishi watu kuiondoa na wakafanya hivyo chama hicho kitajitahidi kuwa makini zaidi ili yasiwakute kile kilichowakuta CCM.tatizo kubwa ni kwamba tunadhani tuna chama mbadala!!!ukweli ni kwamba watu tunataka mabadiliko!na hilo ndilo wenye macho huwa tunalipigania!!!na ndio tunasema Chadema ya kesho ni zaid ya CCM ya leo!!!tukiandika tunaambiwa si wanachama!!!KUNA MAPUGUFU MENGI TU CHADEMA!!
Ktk safari yeyote ile ya mabadiliko ni lazima virus wawepo, hao ambao mnawaona wakienda tofauti wilng za wanamageuzi basi tuwapuuze kwani mwisho wao upo 2 na wala si kigezo cha kuzuia mageuzi. BUT CHADEMA ITAFANIKIWA HARAKATI ZAKE KWA HALI YEYOTE ILE( automatically) KWANI UGUMU WA MAISHA NDIO UTAKAO AMUA MWISHO WA MAGAMBA NA WAPINGA MAGEUZI WOTE NDANI NA NJE YA CHADEMA.