Samson Mwigamba una nini na Dr Slaa?

Mbalinga

JF-Expert Member
Apr 9, 2010
1,714
1,370
Jana nimesoma kwa makini sana makala ya Samson Mwigamba kwenye Tanzania Daima na nikashangaa sana. Nimemtumia ujumbe kumuuliza alikuwa na maana gani lakini mpaka sasa hajanijibu. Hili ndilo nililoligundua katika makala aliyoipa kichwa "Arumeru Mashariki ilikuwa kama operation ya Kijeshi"

Ameelezea mambo mengi na kuwashukuru watu wengi sana waliofanya kazi ya ukombozi Arumeru, Ameanzia kwa Mh Mbowe, Mameneja wa Kampeni Mchungaji Natse na V Nyerere, Mkuu wa operation John Mrema, Katibu wa CDM wa mkoa, Viongozi wa Bavicha na wengine wengi. Lakini jambo la ajabu ni kuwa hakuna hata mahali ambapo alimtaja Dr Slaa. Sasa mimi nimejiuliza inawezekanaje Mwigamba asimuone Dr Slaa kwenye kampeni? Vyombo vya habari vilituambia kuwa Dr Slaa alipokewa kifalme Arumeru, tulimuona na kumsikia kwenye majukwaa akimnadi Joshua, ni yeye aliyekashifiwa kuiba pesa za ujio wa Papa, ni yeye alitukanwa matusi mazito na Ndugu Lusinde. Sasa inawezekanaje Mwigamba asimtaje katika shukrani zake? Huu ndio ukamamnda gani, hata kama kuna sintofahamu baina yao kwa nini analionyesha hadharani hivyo? Nilitamani niwawekee vipande vya shukrani zake lakini Tanzania Daima online haikuiweka hiyo makala, sijui ni bahati mbaya ama wameistukia kama mimi nilivyofanya?

Makamanda tuache unafiki, hata kama mtu ameondolewa kuwa mhasibu wa chama sio sababu ya kuweka kinyongo, tujue tu kuwa cheo ni dhamana na si haki ya mtu. Ukombozi utaletwa na watu makini wenye nia ya dhati na wasio na agenda ya siri nyuma yao. Hoja zote ni lazima ziwekwe mezani, zijadiliwe kisha tusonge mbele kwenye mapambano.

Samson angalia sana usije ukajiweka upande mbaya wa historia ya taifa letu. Katika ujumbe wangu wa jana nilitoa wito kwako uombe radhi wasomaji wako na wana CDM popote pale walipo kwa kosa hilo. Inawezekana ulipitiwa tu na hukudhamiria, kama hivyo ndivyo basi nami utanisamehe.

SAA YA UKOMBOZI IMEFIKA
 
Jana nimesoma kwa makini sana makala ya Samson Mwigamba kwenye Tanzania Daima na nikashangaa sana. Nimemtumia ujumbe kumuuliza alikuwa na maana gani lakini mpaka sasa hajanijibu. Hili ndilo nililoligundua katika makala aliyoipa kichwa "Arumeru Mashariki ilikuwa kama operation ya Kijeshi"

Ameelezea mambo mengi na kuwashukuru watu wengi sana waliofanya kazi ya ukombozi Arumeru, Ameanzia kwa Mh Mbowe, Mameneja wa Kampeni Mchungaji Natse na V Nyerere, Mkuu wa operation John Mrema, Katibu wa CDM wa mkoa, Viongozi wa Bavicha na wengine wengi. Lakini jambo la ajabu ni kuwa hakuna hata mahali ambapo alimtaja Dr Slaa. Sasa mimi nimejiuliza inawezekanaje Mwigamba asimuone Dr Slaa kwenye kampeni? Vyombo vya habari vilituambia kuwa Dr Slaa alipokewa kifalme Arumeru, tulimuona na kumsikia kwenye majukwaa akimnadi Joshua, ni yeye aliyekashifiwa kuiba pesa za ujio wa Papa, ni yeye alitukanwa matusi mazito na Ndugu Lusinde. Sasa inawezekanaje Mwigamba asimtaje katika shukrani zake? Huu ndio ukamamnda gani, hata kama kuna sintofahamu baina yao kwa nini analionyesha hadharani hivyo? Nilitamani niwawekee vipande vya shukrani zake lakini Tanzania Daima online haikuiweka hiyo makala, sijui ni bahati mbaya ama wameistukia kama mimi nilivyofanya?

Makamanda tuache unafiki, hata kama mtu ameondolewa kuwa mhasibu wa chama sio sababu ya kuweka kinyongo, tujue tu kuwa cheo ni dhamana na si haki ya mtu. Ukombozi utaletwa na watu makini wenye nia ya dhati na wasio na agenda ya siri nyuma yao. Hoja zote ni lazima ziwekwe mezani, zijadiliwe kisha tusonge mbele kwenye mapambano.

Samson angalia sana usije ukajiweka upande mbaya wa historia ya taifa letu. Katika ujumbe wangu wa jana nilitoa wito kwako uombe radhi wasomaji wako na wana CDM popote pale walipo kwa kosa hilo. Inawezekana ulipitiwa tu na hukudhamiria, kama hivyo ndivyo basi nami utanisamehe.

SAA YA UKOMBOZI IMEFIKA

tatizo kubwa ni kwamba tunadhani tuna chama mbadala!!!ukweli ni kwamba watu tunataka mabadiliko!na hilo ndilo wenye macho huwa tunalipigania!!!na ndio tunasema Chadema ya kesho ni zaid ya CCM ya leo!!!tukiandika tunaambiwa si wanachama!!!KUNA MAPUGUFU MENGI TU CHADEMA!!
 
Jana nimesoma kwa makini sana makala ya Samson Mwigamba kwenye Tanzania Daima na nikashangaa sana. Nimemtumia ujumbe kumuuliza alikuwa na maana gani lakini mpaka sasa hajanijibu. Hili ndilo nililoligundua katika makala aliyoipa kichwa "Arumeru Mashariki ilikuwa kama operation ya Kijeshi"

Ameelezea mambo mengi na kuwashukuru watu wengi sana waliofanya kazi ya ukombozi Arumeru, Ameanzia kwa Mh Mbowe, Mameneja wa Kampeni Mchungaji Natse na V Nyerere, Mkuu wa operation John Mrema, Katibu wa CDM wa mkoa, Viongozi wa Bavicha na wengine wengi. Lakini jambo la ajabu ni kuwa hakuna hata mahali ambapo alimtaja Dr Slaa. Sasa mimi nimejiuliza inawezekanaje Mwigamba asimuone Dr Slaa kwenye kampeni? Vyombo vya habari vilituambia kuwa Dr Slaa alipokewa kifalme Arumeru, tulimuona na kumsikia kwenye majukwaa akimnadi Joshua, ni yeye aliyekashifiwa kuiba pesa za ujio wa Papa, ni yeye alitukanwa matusi mazito na Ndugu Lusinde. Sasa inawezekanaje Mwigamba asimtaje katika shukrani zake? Huu ndio ukamamnda gani, hata kama kuna sintofahamu baina yao kwa nini analionyesha hadharani hivyo? Nilitamani niwawekee vipande vya shukrani zake lakini Tanzania Daima online haikuiweka hiyo makala, sijui ni bahati mbaya ama wameistukia kama mimi nilivyofanya?

Makamanda tuache unafiki, hata kama mtu ameondolewa kuwa mhasibu wa chama sio sababu ya kuweka kinyongo, tujue tu kuwa cheo ni dhamana na si haki ya mtu. Ukombozi utaletwa na watu makini wenye nia ya dhati na wasio na agenda ya siri nyuma yao. Hoja zote ni lazima ziwekwe mezani, zijadiliwe kisha tusonge mbele kwenye mapambano.

Samson angalia sana usije ukajiweka upande mbaya wa historia ya taifa letu. Katika ujumbe wangu wa jana nilitoa wito kwako uombe radhi wasomaji wako na wana CDM popote pale walipo kwa kosa hilo. Inawezekana ulipitiwa tu na hukudhamiria, kama hivyo ndivyo basi nami utanisamehe.

SAA YA UKOMBOZI IMEFIKA

Kwani SLAA ndiye chanzo cha kuondolewa kwenye nafasi hiyo ya uhasibu? hakuwa na sifa au ili mtu mwingine aikamate nafasi hiyo? au aliingia chama hasara?
 
tatizo kubwa ni kwamba tunadhani tuna chama mbadala!!!ukweli ni kwamba watu tunataka mabadiliko!na hilo ndilo wenye macho huwa tunalipigania!!!na ndio tunasema Chadema ya kesho ni zaid ya CCM ya leo!!!tukiandika tunaambiwa si wanachama!!!KUNA MAPUGUFU MENGI TU CHADEMA!!
kama ilivyo kwenye vyuama vyote!
 
Hakuna umuhimu wa kuongeza gap, kinachotakiwa ni ku heal gap

Sawa ku heal gape ni kwa Mwigamba kujishusha. Kujitutumua tena kwa kuandika ni hatari sana kwa mustakabali wa chama. Mwigamba anapaswa kuomba radhi period.
 
tatizo kubwa ni kwamba tunadhani tuna chama mbadala!!!ukweli ni kwamba watu tunataka mabadiliko!na hilo ndilo wenye macho huwa tunalipigania!!!na ndio tunasema Chadema ya kesho ni zaid ya CCM ya leo!!!tukiandika tunaambiwa si wanachama!!!KUNA MAPUGUFU MENGI TU CHADEMA!!

Hatuangalii kesho tunaangalia zaidi leo. Tunashughulika na upuuzi wa CCM wa leo, ikifika zamu ya Chadema hapo kesho tutaushughulikia kulingana na wakati husika.

Acha unazi.
 
Kikubwa ni kuwa chadema ni bora kuliko ccm , na wala sio kuwa chadema ni chama cha mitume na manabii(wa ukweli), changamoto ndani ya chadema ni muhimu ziwepo ili viongozi wasije wakageuka miungu watu.

Issue ya mwigamba inaweza ikawa personal lakini, whatever the case hata chadema wakiwa na mapungufu sio sababu ya kuparaganyika.

Kuna mamluki chadema wanaofanya mambo yasiyoendana na matarajio yetu hao tumewaona, tumewasikia na tunawafahamu sana kwani waliowatuma hawana makufuri midomoni mwao.

Lakini pia kuna watu wengine wanafikiri kuwa chadema ni sehemu ya kutimiza ndoto zao, kwao hao nawambia wapotea njia kwani chadema inatimiza kwanza ndoto za watanzania masikini wasio na msemaji.

Kwa wale wanaoonyeshs chuki kwa sababu binafsi za kimaslahi wakae wakijua kuwa chadema si mtu ila ni umaa


chadema dhaifu ni bora kuliko ccm ya wanyang'anyi
 
watu wanachagua mabadiliko sio chama.ukichunguza kwa umakini hivi vyama vya upinzan vina matatizo lukuki na kwakwel ht kama ccm itaanguka bd wananchi tutakuwa na kazi kubwa ya kufanya.
 
ngoja kwanza cdm wamemaliza uchaguzi nina imani dr. slaa, mbowe, zitto na wengine wamesikia na kuona shutuma zote hizo zikiwemo hayo ya mwigamba na dr. kutoiva, watatafuta solution (watakuwa na mikakati ya arusha na kutafakari arumeru so iweisiwe watakaa) everything will be solved, sio makubwa kihiiiiiiiiiiiiivyo!!!
 
tanzania daima ni gazeti la mbowe siyo la chadema.wala msilete unazi mkawa mnatafuna maneno.issue hapo ni urais wa 2015.mbowe ameanza kujipigia debe kupitia gazeti lake.mtayaona mengi hizi ni rasharasha.unfanya mchezo na wachaga wanavyo itaka nchi kwa nguvu zote ili wafanye ufisadi.ona tra wachaga watupu wanakula rushwa tu.nani humu jamvini atabisha kama tra hawali rushwa.
 
CHADEMA pia inahitaji kujivua gamba.... hivi vyama vilikua kimbilio la waliolosti, and now they should change mrengo wao na kufagia takataka zinazohemea kwenye siasa
 
Ktk safari yeyote ile ya mabadiliko ni lazima virus wawepo, hao ambao mnawaona wakienda tofauti wilng za wanamageuzi basi tuwapuuze kwani mwisho wao upo 2 na wala si kigezo cha kuzuia mageuzi. BUT CHADEMA ITAFANIKIWA HARAKATI ZAKE KWA HALI YEYOTE ILE( automatically) KWANI UGUMU WA MAISHA NDIO UTAKAO AMUA MWISHO WA MAGAMBA NA WAPINGA MAGEUZI WOTE NDANI NA NJE YA CHADEMA.
 
CHADEMA pia inahitaji kujivua gamba.... hivi vyama vilikua kimbilio la waliolosti, and now they should change mrengo wao na kufagia takataka zinazohemea kwenye siasa

you are right mkuu hilo lazima viongozi wetu walifanyie kazi la sivyo tutajaza mamluki ambao watakuja kutuletea shida huko mbele.
 
Ktk safari yeyote ile ya mabadiliko ni lazima virus wawepo, hao ambao mnawaona wakienda tofauti wilng za wanamageuzi basi tuwapuuze kwani mwisho wao upo 2 na wala si kigezo cha kuzuia mageuzi. BUT CHADEMA ITAFANIKIWA HARAKATI ZAKE KWA HALI YEYOTE ILE( automatically) KWANI UGUMU WA MAISHA NDIO UTAKAO AMUA MWISHO WA MAGAMBA NA WAPINGA MAGEUZI WOTE NDANI NA NJE YA CHADEMA.
Chadema 4 life
movement 4 critical changes solidarity forever...\/
 
Back
Top Bottom