Samson mwigamba akiandika maelezo siku ya tukio

Samson mwigamba akiandika maelezo siku ya tukio

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,455
M/kiti wa Chadema Mkoa Arusha Samson Mwigamba akiandika maelezo baada ya kusimamishwa kuwa Mwenyekiti,ili kupisha uchunguzi zaidi ya tuhuma mbali mbali zinazomkabili.Snake in the house
 

Attachments

  • 1.png
    1.png
    63.1 KB · Views: 705
  • 1378851_350768625060144_934660311_n.jpg
    1378851_350768625060144_934660311_n.jpg
    83.9 KB · Views: 1,095
Mods unganisheni hii ndugu yetu nadhani sasa tungoje vikao vya chama hatuna sababu yakuanza kufanya name calling ,baada ya vikao wananchi tutaelezwa yanayojiri
 
Mods unganisheni hii ndugu yetu nadhani sasa tungoje vikao vya chama hatuna sababu yakuanza kufanya name calling ,baada ya vikao wananchi tutaelezwa yanayojiri
Jamaa unaumia ukiona mwigamba.
 
Jamaa unaumia ukiona mwigamba.

sijakuelewa naumia kwa mwigamba kuwa msaliti au Mwigamba safari yake ya kisiasa ndio hiyo tena kasha itia matope huyo allie wake aliyemtaka kuwa mwenyekiti ni jinni na pepo kali watu wote wenye siha nzuri za kisiasa ndani ya chama chake anahakikisha anawaconfuse na kuwamaliza wapi Brave boy Kafulila, aliyekuwa mwenyekiti wa CDM mbeya kwusheney mbinti aliyekuwa Bavicha J shonza wote wametengenezea maudhi ya kuwaua kisiasa mwigamba amejigambua mwenyewe
 
Arudi chama cha magamba kama Lukosi,huyu naona alitumwa na magamba!
 
Hakuna alie juu ya vyama somo kwa vyama vingine pia.
 
sijakuelewa naumia kwa mwigamba kuwa msaliti au Mwigamba safari yake ya kisiasa ndio hiyo tena kasha itia matope huyo allie wake aliyemtaka kuwa mwenyekiti ni jinni na pepo kali watu wote wenye siha nzuri za kisiasa ndani ya chama chake anahakikisha anawaconfuse na kuwamaliza wapi Brave boy Kafulila, aliyekuwa mwenyekiti wa CDM mbeya kwusheney mbinti aliyekuwa Bavicha J shonza wote wametengenezea maudhi ya kuwaua kisiasa mwigamba amejigambua mwenyewe

farida, ww ni life failure, hapa unaweweseka tu, huna jipya. Acheni ubabe, udikteta na umangimeza.
 
Tunahitaji watu kkama Mwigamba katika siasa za Tz sio hawa wanaopelekwa na viongoz wa vyama vyao. Jitambueni nyie Bavicha jamaa kafichua uozo wa chair na katibu wenu nyie mnamwita msaliti....
 
Mwigamba ni mkombozi wa wanyanyaswa

huwezi kutumia pesa chache uliyonayo kununua dawa badala ya chakula wakati hauumwi.nafikiri we we unanyanyaswa ndiyo maana unamhita mwigamba mkombozi.je unanyanyaswa kwalipi, na nani?otherwise huyo jamaa he is suffering from the consequences.
 
farida, ww ni life failure, hapa unaweweseka tu, huna jipya. Acheni ubabe, udikteta na umangimeza.

sibishani mimi na masalia kamwe watu wanashusha suruali bila aibu kuchanjwa na kugeuzwa majini ya kisiasa mbona umeqoute post yangu kwa sababu ya kukwambia fact Mr member wa Lumumba book seven embujadili haya hapa chini ya jANGIRI MWENZENU
Katibu wa mbunge wa jimbo la Isimani(Tommu Malenga) anashikiliwa na JWTZ kwa tuhuma za kusafirisha na kuuza meno ya tembo.

Katibu huyo alishikwa jana Iringa Mjini katika ofisi ya mbunge wake Lukuvi.

Opalesheni hiyo ipo katika jimbo la Isimani na kuushika mtandao mzima wa uhujumu mali ya sili hasa meno ya tembo.

oparesheni inaendeshwa na JWTZ
.
 
Ukiona mwanachama wa CDM anaungwa mkono na magamba ujue kuna walakini mkubwa sana..
Huyo ajiandae kukutana koleo la Ramadhan Igondhu, kisha waseme ni Chadema ndiyo wamemdhuru. Amedanganywa kuwa atafutiwa ile kesi yake ya uchochezi.
 
Tunahitaji watu kkama Mwigamba katika siasa za Tz sio hawa wanaopelekwa na viongoz wa vyama vyao. Jitambueni nyie Bavicha jamaa kafichua uozo wa chair na katibu wenu nyie mnamwita msaliti....

Lazima leo ujizike tu manake utasema wewe mwigamba hakatazwi ka nini asema kwa ID ya maskini jeuri asimame kwenye kikao alichokuwa anasifia watu ni mwoga na nafasi yake ilimzidi
 
Arudi chama cha magamba kama Lukosi,huyu naona alitumwa na magamba!

chadema ndio inayofisadi ruzuku chini ya mbowe, kwann wewe unataka kupotosha mada? Soma tena hoja za mwigamba acha kuweweseka
 
Back
Top Bottom