Samson mwigamba akiandika maelezo siku ya tukio

Samson mwigamba akiandika maelezo siku ya tukio

Tunahitaji watu kkama Mwigamba katika siasa za Tz sio hawa wanaopelekwa na viongoz wa vyama vyao. Jitambueni nyie Bavicha jamaa kafichua uozo wa chair na katibu wenu nyie mnamwita msaliti....


wewe una akili kama za watoto wa chekechea.

Nani ana hitaji kiongozi mnafiki na msema pembeni?

Tuna hitaji viongozi wajasiri sio huyu mnafiki.Tuna hitaji kiongozi anaye simama kuongea pale panapo stahili na hafichi kitu na si kuongea pembeni.

Tuna hitaji kiongozi ambaye anasema waziwazi hata kama atapingwa na wote.

Je tujiulize huyo mwigamba alishawai kusema hayo kwenye vikao?
 
Lazima leo ujizike tu manake utasema wewe mwigamba hakatazwi ka nini asema kwa ID ya maskini jeuri asimame kwenye kikao alichokuwa anasifia watu ni mwoga na nafasi yake ilimzidi

Mkuu Froida umenena kabisa kama huyu mwigamba hayo hakuyaongea kwenye hicho kikao na badala yake ana kisifia chama, kwanini hakuongea hayo kipindi hicho hili wapambane kwa hoja na kama wange mkataza kuongea basi hapo angesema ili tujue kabisa.

Mwigamba ni kiongozi muoga na mnafiki sana na hakuna mtu ana hitaji kiongozi mnafiki.
 
Last edited by a moderator:
Huyo mwigamba naye kapotoka kwa kudhani asingejulikana kwa kuanfika barua zisizo rasmi ktk chama.nadhani hii itakua fundisho kwa viongozi wanaodhani wakitoka chadema wanachama watawsfuata. Chadema hapendwi mtu kinachomata ni sera.
kama sera ni nzuri lazima wananchi waje ktk chama, Mwigamba amelikoroga mwenyewe lazima alinywe!!'
 
farida, ww ni life failure, hapa unaweweseka tu, huna jipya. Acheni ubabe, udikteta na umangimeza.

Kuliko MAGAMBANI? Mbona kwenu hamthubutu kusema? RIZ MOKO anafanya anavyo taka wote kimya!!! Leo unakuja kutoa povu kisa CHAMA LISILO LEA MAKENGE limetimua KENGE mwingine!

Halafu inashangaza kweli. Kila anaye fukuzwa CHADEMA mi-CCM inajifanya kusikitika kweli!! Si mfurahie kwamba mmepata member mwingine, eti?
 
Amevuna alichopanda , noma sana aisee ! Kutoka kushangiliwa hadi KUZOMEWA !
 
Masikini mwigamba hakujua kama angegundulika,aliyumia ID bandia ili kuificha.....kweli chadema ni mpango wa mungu....
 
Hakuna alie juu ya vyama somo kwa vyama vingine pia.

Hapa sijakuelewa ulikusudia kwa wanachama wengine wa Chadema ? Inaonyesha ni kiasi gani hamuwezi kutimuana bila ya makonde ,,mbona kama umekusudia vyama ni CUF ambayo imewafukuza wanachama wakuu akiwemo mbunge au wabunge na hata mwenyekiti yule akiitwa mapalala kama sikosei.
 
Mods unganisheni hii ndugu yetu nadhani sasa tungoje vikao vya chama hatuna sababu yakuanza kufanya name calling ,baada ya vikao wananchi tutaelezwa yanayojiri

We ajuza mbona unapenda kulalamika tulia basi
 
kamanda Kadundwa na Makamanda wenzake...
Huyu jamaa abadili kabila awe mchaga atarudishiwa Uenyekiti wake haraka...
 
kwanini Mwigamba umekubali kutumika na Kabwela?
 
Mods unganisheni hii ndugu yetu nadhani sasa tungoje vikao vya chama hatuna sababu yakuanza kufanya name calling ,baada ya vikao wananchi tutaelezwa yanayojiri


Tukiacha na hiyo ya 'name calling' mi nafikiri huyu jamaa ameponzwa na jina lake! MWIGAMBA NDANI YA CHAMA LA WABABE WA MAGWANDA?!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
M/kiti wa Chadema Mkoa Arusha Samson Mwigamba akiandika maelezo baada ya kusimamishwa kuwa Mwenyekiti,ili kupisha uchunguzi zaidi ya tuhuma mbali mbali zinazomkabili.Snake in the house


Sijui anaandikisha maelezo wapi, polisi au CDM? Picha hii na malezo mbona haviwiani? Lakini kama ni kweli, CDM mmepigana ama mmevurugana kama inavyodaiwa, eleweni jambo moja. Tayari CCM imeshaingia chumbani mwa chama chenu na itafanikiwa kama ilivyofanikiwa kuvuruga vyama vingine. Njaa ndiyo inafanya mnavurugana. Mpende msipende, hali si shwari ndani ya CDM
 
Back
Top Bottom