Talaka, wewe bibi f mimi j nimekuacha kuanzia leo, unikome unikome ukiniona kimbia, ukipanda daladala ukanikuta shuka haraka, ukivuka barabara ukaniona usigeuke nyuma, kwenda kabisa kwenda mwana kwenda. Talaka si mke wangu.
Ndugu wana jf....naombeni msaada wenu kuhusu kuandika barua ya talaka. Hua nasikia tu talaka tatu. Zinaandikwaje?...msifanye jokes.....nipo serious
nenda BAKWATA
Kitu talaka ya tatu hii.
Kuanzia leo tarehe 07/11/2013 mimi kwamtoro Sudi Masudi nakuacha happiness win kwa kosa la kukukamata ugoni na kb52
Mashadi wangu wa tukio la ugoni ni Jewel shinjikazola na Ziltan
Ukitoka njee ya mlango wa nyumba hii toka leo, atakaye penda kukuoa upo sahihi kumkubali kwa sababu wewe auna mume.
Hiyo ya tatu ni talaka kweli au ni mipasho ya taarabu ya hadija kopa?Talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.
Talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.
Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea. Usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo mchachu kama ndimu iloyochacha. Mwili unamakovu utafikiria batiki ya Kichina.
.
Ndugu wana jf....naombeni msaada wenu kuhusu kuandika barua ya talaka. Hua nasikia tu talaka tatu. Zinaandikwaje? Msifanye jokes, nipo serious
Talaka ya1: Nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.
Talaka2: Nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.
Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo, mchachu kama ndimu iloyochacha, mwili unamakovu utafikiria batiki ya kichina
Hiyo ya tatu ni talaka kweli au ni mipasho ya taarabu ya hadija kopa?!
Talaka, wewe bibi f mimi j nimekuacha kuanzia leo, unikome unikome ukiniona kimbia, ukipanda daladala ukanikuta shuka haraka, ukivuka barabara ukaniona usigeuke nyuma, kwenda kabisa kwenda mwana kwenda. Talaka si mke wangu.
Talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.
Talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.
Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea. Usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo mchachu kama ndimu iloyochacha. Mwili unamakovu utafikiria batiki ya Kichina.
.