Sample ya barua ya talaka

Sample ya barua ya talaka

Angalia muvi za majuto ndo huwa anatoaga taraka. Huwa wanasemaga eti ukniona kwny daladala we ushuke na mwbembwe zingne
 
Sheria ya Ndoa na Talaka inasema talaka inayotambulika kisheria ni ile iliyotolewa kupitia institution husika ambayo ni Mahakama. BAKWATA na sijui makanisani vinahusika na kupatanisha/kusuluhisha migogoro ya ndoa na sio kutoa talaka.
 
WATU WANACHEZA NA TALAKA(red card) WANDUNGU USIOMBE YAKUKUTE,NI Nooooooooma.
 
Dah, hizi talaka kiboko, hasa hiyo ya tatu lol!
talaka ya1: nakuonya
mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako
kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua....

talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe..... lakini umefanya tena nenda
kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja
kukuchukua,....

talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe
umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto
wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea......., usinitafute tena mbuzi
wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo.........., mchachu kama
ndimu iloyochacha,........ mwili unamakovu utafikiria batiki ya
kichina, ............
 
Talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.

Talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.

Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea. Usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo mchachu kama ndimu iloyochacha. Mwili unamakovu utafikiria batiki ya Kichina.
Hahahahaha! Hiyo ya tatu imenifurahisha mbuzi wa mjini kula hadi mifuko ya rambo du!
 
Ndugu wana jf....naombeni msaada wenu kuhusu kuandika barua ya talaka. Hua nasikia tu talaka tatu. Zinaandikwaje?...msifanye jokes.....nipo serious
ulipaswa uende kwa shekhe aliyewafungisha ndoa akuelekeze.
 
Jamani mi ni Mkristo, sio mwislamu. Bakwata hapanihusu...wala kwa shekh.
 
Talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.

Talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.

Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea. Usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo mchachu kama ndimu iloyochacha. Mwili unamakovu utafikiria batiki ya Kichina.

Nimecheka mpaka machozi yamenitoka...Hiyo Taraka ya Tatu
 
Ndugu wana jf....naombeni msaada wenu kuhusu kuandika barua ya talaka. Hua nasikia tu talaka tatu. Zinaandikwaje?...msifanye jokes.....nipo serious

Pole sana mkuu, ndoa ndoano.mimi sina experience na hayo mambo alafu mimi hapa ni mgeni nimetoka London jana.
 
talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua....

talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe..... lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua,....

talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea......., usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo.........., mchachu kama ndimu iloyochacha,........ mwili unamakovu utafikiria batiki ya kichina,

Hahahahaha, eti mchachu kama ndimu iliyochacha, duh u made my day.
 
Talaka ya1: nakuonya mke/mume wangu una nafasi moja bado ya kujirekebisha kaa kwa wazazi wako kwa mwezi mmoja na nitakuja kukuchukua.

Talaka2: nilikupa onyo la kwanza tarehe, lakini umefanya tena nenda kwa wazazi wako kwa miezi 3 nadhani utakuwa umejirekebisha nitakuja kukuchukua.

Talaka 3: kama walivyosema wehenga "kunguru afugiki" sasa naona wewe umekuwa kunguru siwezi kukufuga ukiona sehemu nipo pita mbali watoto wangu nitawatafutia mama mdogo wa kuwalea. Usinitafute tena mbuzi wa mjini wewe unakula hadi mifuko ya rambo mchachu kama ndimu iloyochacha. Mwili unamakovu utafikiria batiki ya Kichina.
.

Mbona hatari hii.... Kumbe ndio maana siku hizi supu ya mbuzi hata sio nzuri kumbe wanakula mifuko ya rambo... Na maboksi ya juisi za bakhresa..... Alaaaaaaah
 
Ndugu wana jf....naombeni msaada wenu kuhusu kuandika barua ya talaka. Hua nasikia tu talaka tatu. Zinaandikwaje?...msifanye jokes.....nipo serious
Andika talaka.
Nenda stationary ukatoe copy ziwe tatu, hapo utakua umemaliza mchezo, na hizo ndio talaka 3.

Matumizi yake ni kua moja atasaini na kukuachia wewe, moja ya kwake na ya mwisho atawapa wazazi/walezi wake.
 
Back
Top Bottom