Hana afya ya kutosha kukipiga ulaya...
Anayo afya ya kutosha sana, na kwa kuwa anaendelea kukua anaweza kutengenezwa zaidi. Wapo wachezaji wengi Ulaya tena kwenye ligi kubwa na hawana kipaji kama cha Samata. Wengine wana afya mgogoro kuliko yake kama Oscar, Benayoun, n.k
Tatizo kubwa kwa Samatta ni jina la nchi yake.
nikiangalia ligi kuu za ulaya na latin america, sijaona mtu mweusi mwenye kiwango cha kumpita sammata. hata huyo demba Ba hajafikia kiwango cha samata. sasa tufanye nini watanznaia wenzangu ili tumtangaze huyu son of our pride?