Anko alikuwa bora kuliko huyo kilaza, yeye ni nani isitokee?Hujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani?
Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea
jambo lenyewe nadhani bila shaka unalijua sa si tunauliza yuko wapi ? tunajua ndiyo kampeni zimesimama jana na leo sa yuko wapi mbona hajatoa taarifa yoyoteHujawahi kuhairisha jambo ambalo umelipanga kutokana sababu fulani?
Nyie waja nnataka kusikia nini? Hicho mnachotaka kitokee hakitatokea
babati mjini alifanya kampeni??duu nyie wapumbavu mno babat kamaliza juzi alimaliza kanda ya kaskazini
Kwamba atakufa? Au unataka kusikia amekufa? Unashangilia /unameombea mtu kufa? (Unashangaza) huyo anko mbn saivi mnampenda baada ya kupotea kwenye uso wa dunia na mnatamani angekuwepo?Anko alikuwa bora kuliko huyo kilaza, yeye ni nani isitokee?
Atanunua mashine ya kuchimbia makaburi ya kuwazikia wakosoaji wote wa mama yake bila shaka! Naiwazia hiyo Kizimkazi si yote itajaa makaburi tu ya wahanga wa utawala wa Mama yake!Na yeye ni binadamu tena over 60 na morbidly obese. Kitatokea tu. Ni suala la muda tu kwetu wanadamu...
View attachment 3484462
Yupo offjambo lenyewe nadhani bila shaka unalijua sa si tunauliza yuko wapi ? tunajua ndiyo kampeni zimesimama jana na leo sa yuko wapi mbona hajatoa taarifa yoyote
Hata mimi sikubaliani na Jeshi kutwaa mamlaka ya kiraia..Sikubaliani na watu wanaosema jeshi lichukue nchi.
Hopefully, hiki ndicho kinachoendelea kujadiliwa sasa..Jeshi linatakiwa kusitisha uchaguzi na kuakikisha reforms zinafanyika ndipo uchaguzi ufanyike
ndiko alikomalizia babati mjini juzi mchanab
babati mjini alifanya kampeni??
Wanasiasa husoma psychology za watu kuwa wanapenda nini...Na yeye ni binadamu tena over 60 na morbidly obese. Kitatokea tu. Ni suala la muda tu kwetu wanadamu...
View attachment 3484462
Ujinga kuzidi huu wako? Kwamba yeye ataishi milele? Unakuwa chawa mpaka unapoteza logic. Yeye ni nani asife? Siyo binadamu?Endelea kutiana ujinga
Soon tunakiwasha Mwanza a.k.a Rock CityEndelea kutiana ujinga
Wewe utabaki milele?(unashangaza)Ujinga kuzidi huu wako? Kwamba yeye ataishi milele? Unakuwa chawa mpaka unapoteza logic. Yeye ni nani asife? Siyo binadamu?
Kufa atakufa. Na watu watashangilia na kukesha baa!
Ila uchawa aisee ni LAANA!
🔥🔥🔥🔥🔥Soon tunakiwasha Mwanza a.k.a Rock City
Mimi nimesema wapi kuwa nitabaki milele? Naona logic inakupiga chenga balaa!Wewe utabaki milele?(unashangaza)
Ko unaamini akifa kitabadilika kitu gani?? Ankali alivifariki mkafurahi ona sasa mnatamani angekuwa hai,
Yani hamjui mnataka nini?
Chukua hii
Kufa kwa mtawala sio chanzo cha mabadiliko (yawe hasi au chanya)
Rudi Tz utiki 29 October! Yajayo yanafurahisha ukiwa na utayari🔥🔥Kwa hiyo tunakubaliana kuwa naye atakufa? Mzozo wetu ulikuwa hapo tu. Mengine mimi hayanihusu; na wala sipo Tanzania; na wala siko hapa kuisemea jamii inataka nini.
Kama tumekubaliana kuwa naye atakufa basi mjadala huu umefungwa. Kila la heri!
View attachment 3484473
Ni kwili jana hazikufanyika kwa sabatu kulikuwa ni mishe za kumteka Polepole!! Lakini kuanzia kesho zitakuwa Mwanza!!!Jana Kampeni zilifanyika?
Samia yupo wapi na yu Hali gani?
Kampeni zimesitishwa?
Hakuna uchaguzi mwaka huu
Bila reform tuliwaambia mkashupaza shingo
Tuendelee kuwepo!!