Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,230
Jamani njooni mmsikie mama kizimkazi, Mama anabwebwe huyu za mdomoni.
Kama kweli Tanzania ni pepo mbona shida zipo nyingi, utekaji umeshamili, ufisadi ndio maisha ya vigogo. Embu tuache kidogo.
============
“Lakini vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na kusini kidogo na kati, Tanzania ni pepo. Hapa mpo kwenye nchi yenye jina, yenye sifa zake, yenye kuendeleza watu wake. Msidanganywe, wale walioko huko nje wasiwadanganye. Hapa mko pazuri kweli kweli,” amesema Dkt. Samia.
Akizungumza katika mkutano mkubwa wa kampeni uliofanyika leo 23 Oktoba, 2025 katika Viwanja vya TANESCO, Temeke, Dkt. Samia
Kama kweli Tanzania ni pepo mbona shida zipo nyingi, utekaji umeshamili, ufisadi ndio maisha ya vigogo. Embu tuache kidogo.
============
“Lakini vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na kusini kidogo na kati, Tanzania ni pepo. Hapa mpo kwenye nchi yenye jina, yenye sifa zake, yenye kuendeleza watu wake. Msidanganywe, wale walioko huko nje wasiwadanganye. Hapa mko pazuri kweli kweli,” amesema Dkt. Samia.
Akizungumza katika mkutano mkubwa wa kampeni uliofanyika leo 23 Oktoba, 2025 katika Viwanja vya TANESCO, Temeke, Dkt. Samia