GE2025 Samia: Tunataka maendeleo yaletwe na watu wenyewe

GE2025 Samia: Tunataka maendeleo yaletwe na watu wenyewe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,131
"Maendeleo tunayoyataka ni maendeleo ya watu, yaletwe na watu wenyewe, yaendelezwe na watu wenyewe, yawafuate watu kule walipo. Hii ndiyo maana halisi ya uchumi jumuishi." - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Samia Suluhu kwenye mkutano wa kampeni Tabora Mjini
 
Hapo anasoma tu alichoandikiwa ukimuambia afafanue anamaanisha nn itakuwa ni mtihani!
 
Back
Top Bottom