Its Tesha
Senior Member
- Oct 6, 2025
- 168
- 604
"Tumedhamiria kufanya kazi. Tumefanya kazi mmeiona na tunajiamini kwamba tutaweza kufanya tena kazi kipindi cha pili cha awamu ya sita, kazi ya kuonekana kwamaana hiyo niombe mtuchague Chama Cha Mapinduzi
“Na hapa niseme ndugu zangu ili niwatoe hofu, kuna watu wanatishatisha ili kuwafanya watu wasitoke tarehe 29 nataka kuwaambia ninayezungumza hapa ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii, nataka kuwaambia WASITHUBHUTU, kibati tu kikipasuka, sisi tupo nao.
Tumejipanga vizuri tokeni kapigeni kura, rudini nyumbani mkapumzike, hakuna hofu, hakuna kuogopa. Tokeni mkapige kura tarehe 29.”- Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi akizungumza na wananchi wa Bariadi Mkoani Simiyu leo Oktoba 10, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni zake Mkoani humo.
“Na hapa niseme ndugu zangu ili niwatoe hofu, kuna watu wanatishatisha ili kuwafanya watu wasitoke tarehe 29 nataka kuwaambia ninayezungumza hapa ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii, nataka kuwaambia WASITHUBHUTU, kibati tu kikipasuka, sisi tupo nao.
Tumejipanga vizuri tokeni kapigeni kura, rudini nyumbani mkapumzike, hakuna hofu, hakuna kuogopa. Tokeni mkapige kura tarehe 29.”- Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi akizungumza na wananchi wa Bariadi Mkoani Simiyu leo Oktoba 10, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni zake Mkoani humo.