Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

Tetesi: Samia hajatambuliwa kama Rais aliyechaguliwa na wananchi, wenzie waliochaguliwa na wananchi wametambuliwa kwenye mkutano wa AU

pulex

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2023
Posts
513
Reaction score
2,038
Alikwenda kwenye mkutano wa AU pamoja na mambo mengi alitegemea kutambulishwa kama Rais aliyemaliza CHAGULIWA nchini TZ.

Wenzake waliomaliza kushinda uchaguzi wakatambulishwa, yeye akaondoka kwa aibu kuliko hata alivyokwenda.

Kwa M7 ni bado hajaapishwa hivyo alitambuliwa kama Raisi wa awamo iliyopita.

Kizimkaz akaanza saka marais wa kupiga nao PICHA, akiwa amekaa nao kwenye vikao vya pembeni, Wengi wakamkimbia, hata wastaafu wakamkwepa kabisa

Kama leo AU inakimbia mtu namna hii ujue wanajua huyu ni mfungwa kujihusisha naye italeta shida kisiasa baadaye, kwa mauaji aliyofanya.

IMG_6728.jpeg
 
Jifunze kiingereza hata kidogo ili uelewe unachokisoma.Hawa waliotajwa hapo ni New Elected Presidents.Sio incumbents ndio sababu hata President Museveni hajatajwa!Wacha kukurupuka kuleta habari for the sake ya kuleta habari.
 
Jifunze kiingereza hata kidogo ili uelewe unachokisoma.Hawa waliotajwa hapo ni New Elected Presidents.Sio incumbents ndio sababu hata Prwsident Museveni hajatajwa!Wacha kukurupuka kuleta habari for the sake ya kuleta habari.
Kweli Kingereza kigumu.
 
Alikwenda kwenye mkutano wa AU pamoja na mambo mengi alitegemea kutambulishwa kama Rais aliyemaliza CHAGULIWA nchini TZ.

Wenzake waliomaliza kushinda uchaguzi wakatambulishwa, yeye akaondoka kwa aibu kuliko hata alivyokwenda.

Kwa M7 ni bado hajaapishwa hivyo alitambuliwa kama Raisi wa awamo iliyopita.

Kizimkaz akaanza saka maraisi wa kupiga nao PICHA, akiwa amekaa nao kwenye vikao vya pembeni, Wengi wakamkimbia, hata wastaafu wakamkwepa kabisa

Kama leo AU inakimbia mtu namna hii ujue wanajua huyu ni mfungwa kujihusisha naye italeta shida kisiasa baadaye, kwa mauaji aliyofanya.
Mi mwenyewe siwezi kua karibu mtu mpumbavu..
 
Alikwenda kwenye mkutano wa AU pamoja na mambo mengi alitegemea kutambulishwa kama Rais aliyemaliza CHAGULIWA nchini TZ.

Wenzake waliomaliza kushinda uchaguzi wakatambulishwa, yeye akaondoka kwa aibu kuliko hata alivyokwenda.

Kwa M7 ni bado hajaapishwa hivyo alitambuliwa kama Raisi wa awamo iliyopita.

Kizimkaz akaanza saka maraisi wa kupiga nao PICHA, akiwa amekaa nao kwenye vikao vya pembeni, Wengi wakamkimbia, hata wastaafu wakamkwepa kabisa

Kama leo AU inakimbia mtu namna hii ujue wanajua huyu ni mfungwa kujihusisha naye italeta shida kisiasa baadaye, kwa mauaji aliyofanya.

Nyumbu huwa akili iko matakoni

1771203238265.png

1771203326407.png

1771203367540.png
 
Kama habari yenyewe inakaribiana na ukweli hilo ni jambo jema sana.

Lakini hao si na wao walileta timu yao kwenye uchafuzi, na wakatoa mrejesho waliyoyaona?

Hawakusema kuwa uchafuzi ule ulifikia vigezo; sasa kwa yeye kujipeleka huko ili atambuliwe ni kwa vigezo vipi hasa; kama siyo kulazimisha kama alivyowalazimisha waTanzania kwa kujitangazia asili mia 98 za kura!

Tutake au tusitake kajiapisha. Sasa amekwenda huko pia kuwalazimisha wamtambue kuwa yeye ndiye halali.

Huyu siyo binaadam, bali ni shetani hasa!

Nishetani asiyekuwa na kiwango chochote cha aibu ndani yake.
 
Jifunze kiingereza hata kidogo ili uelewe unachokisoma.Hawa waliotajwa hapo ni New Elected Presidents.Sio incumbents ndio sababu hata Prwsident Museveni hajatajwa!Wacha kukurupuka kuleta habari for the sake ya kuleta habari.
Tueleze kwanza 'observers' wao walisema nini kuhusu uchafuzi waliokuja kuushuhudia hapa hiyo Oktoba.
 
Jifunze kiingereza hata kidogo ili uelewe unachokisoma.Hawa waliotajwa hapo ni New Elected Presidents.Sio incumbents ndio sababu hata Prwsident Museveni hajatajwa!Wacha kukurupuka kuleta habari for the sake ya kuleta habari.
Aisee
 
Jifunze kiingereza hata kidogo ili uelewe unachokisoma.Hawa waliotajwa hapo ni New Elected Presidents.Sio incumbents ndio sababu hata Prwsident Museveni hajatajwa!Wacha kukurupuka kuleta habari for the sake ya kuleta habari.
Sisi sio wajinga wenzio. Kati ya samuya na Netumbo Ndaitwa nani alitangulia kuingia madarakani? (Nb: wa kwetu alipora, yule alichaguliwa- Netumbo march '25, Samuya october '25) Sasa kama AU wanatambua kama Samuya alichaguliwa hiyo October, kwanini hakutambulishwa bali aliyechaguliwa March akatambulishwa?
 
Back
Top Bottom